iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,934
Hawa wataalamu wa sheria mwanza wana njaa kali ya kupitiliza kutokana na soko kuwa gumu na hii inafanya mawakili hawa kuwa na maisha ya shida na anaweza kupokea instruction fee ya laki moja hapa ondoa wachache kama galati imma na mutalemwa na hali inakuwa mbaya kwa young advocates lastly ni vigumu kukuta wana ofisi za ukubwa wa kutosha its very sad indeed