Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Yaani sijui wewe ni Mtanzania wa wapi! Hujui kuwa malipo yoyote CCM yanafanywa kwa 'Control Number'? Hujui kuwa tunapewa risiti za EFD? Au unasikiliza maneno ya mtandaoni? Ebu kesho jaribu kwenda ofisi yoyoye ya CCM jifanhe unataka kulipia kadi ujiridhishe binafsi badala ya kuambiwa Dogo!Mlisha wahi kulipa,tupe mkeka wa uhakiki uliofanywa na ile tume, tupitie mradi mmoja baada ya mwingine tuone asiyelipa kodi ni nani.
Kadi ni jambo jingine,tunataka kufuatilia katika orodha ya ule uwekezaji wote,wenu mnalipia.Yaani sijui wewe ni Mtanzania wa wapi! Hujui kuwa malipo yoyote CCM yanafanywa kwa 'Control Number'? Hujui kuwa tunapewa risiti za EFD? Au unasikiliza maneno ya mtandaoni? Ebu kesho jaribu kwenda ofisi yoyoye ya CCM jifanhe unataka kulipia kadi ujiridhishe binafsi badala ya kuambiwa Dogo!
Ulizia waliokodi majengo ya chama.Kadi ni jambo jingine,tunataka kufuatilia katika orodha ya ule uwekezaji wote,wenu mnalipia.
Enzi za kuburuzana na kupelekeshana zimeisha.
kila kitu kinaenda kwa sheria sio matamko au amri
Wakudadavuwa kumsaidia Waziri wa fedha imekua family matter?
Bado mpo wazee wa kujipendekeza na kutafuta vyeo
Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, Chadema wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au Chadema wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa Chadema na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi
Tatizo sio kulipa kodi mtu kama anaweza kuiba kura anashindwa kuiba kodi?Kulipa kodi sio ubabe. Ni wajibu.Unafikiri hizo barabara mnazotaka kutumia kufanya maandamano pesa za kutengenezea anatuma Robert Amsterdam!?
Wai chatttle gwaji boy leo anaenda kumfufua mwamba wa mabuaNdugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.
na pesa za vile vitambulisho asilimia kubwa zimeingia kwenye mfuko wa jiweZile 20,000/= wanazochangishwa kila Mmachinga zinatozwa Withholiding Tax?
Anza na pesa wanayotozwa Machinga kutaka itozwe kodi = TRA MPO?
haha hakuna anaekataa kulipa kodi.Lipa kodi bila shuruti kamanda
Unajua sheria ya kodi kwenye vyama vya siasa? Au unaandika tu sababu una simu janja?Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.
Wazo jema kabisa.Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.
Rais SSH hapendi wanafiki wanaojipendekeza kwake, anza kutumia akili yako kujikimu kuliko huu ujinga. Usiishi kwa mazoea kwamba Mwenzake aliwapenda wenye chuki kwa CDM na Rais Samia awapende. Hakuna.Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.
Lipeni kodi.Nongwa imekukaba kwenye koo inakuuma hasa.
Hata kadi za vyama vingine achilia ccm kadi wanagawa bure, na mbona kuna kiingilio ,kodi yake hupelekwajembana ccm Mali zake zinazidi za serikali wanalipa kodi bei gani?
Tatizo sio kulipa kodi mtu kama anaweza kuiba kura anashindwa kuiba kodi?
Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.