Zanaco
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 1,621
- 1,583
Ndio nimejikita au hutaki kusikia neno wizi wa kura?Jikite kwenye hoja
Ndio nimejikita au hutaki kusikia neno wizi wa kura?Jikite kwenye hoja
Hivi mkuu kuna uzi wowote uliowahi kuandika bila neno Chadema ndani yake?
Haitakuwa hata ndoto zako zina uchadema chadema kweli ndani yake?
Kulikoni mwana (dada/kaka) wee?
Chadema digital yaichanganya ccm , hali iko hivi nchi nzimaNdugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.
Chama kilichokufa kinalipa kodi gani tena jamani?Lipeni kodi.
Chama kilichokufa kinalipa kodi gani tena jamani?
Nyie Mataga na Marehemu Mzee Pombe simlisema mmeshakiua hichi chama ??
Mnaidai kodi maiti?
Pambaf.
Mataga lesboo nongwa limekukaba kooni unaumia haswaa.Sasa mnafanya biashara sio siasa kamanda lipeni kodi
Mataga lesboo nongwa limekukaba kooni unaumia haswaa.
Kipo hai? HaaaaaaChama kilichokufa kinalipa kodi gani tena jamani?
Nyie Mataga na Marehemu Mzee Pombe simlisema mmeshakiua hichi chama ??
Mnaidai kodi maiti?
Pambaf.
Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.m
Muongo mbona rafiki yangu alinunua jezi ya ccm mwanzo wa mwezi pale Dodoma makao makuu ya chama chenu karibu na Nmb hakulipa KWA control number na hakupewa risit ,hivi nyie ccm lin mtaacha kua wahongo ,Yaani sijui wewe ni Mtanzania wa wapi! Hujui kuwa malipo yoyote CCM yanafanywa kwa 'Control Number'? Hujui kuwa tunapewa risiti za EFD? Au unasikiliza maneno ya mtandaoni? Ebu kesho jaribu kwenda ofisi yoyoye ya CCM jifanhe unataka kulipia kadi ujiridhishe binafsi badala ya kuambiwa Dogo!
Kipo hai? Haaaaaa
You look agitated. Get reminded that the Magufuli era is gone. By the way, you are also implying that CCM agents selling membership cards in offices should also pay the same tax because they get a bonus for each unit sold.Ndugu zangu,
Katika kukabiliana na hali ngumu ya maisha kwa chama na wafuasi wake, CHADEMA wameanzisha utaratibu wa kuuza kadi zao mitaani huku wakiahidi kuwa kila kadi moja itakayouzwa wakala atapewa shilingi 500.
Huu ni ujasiriasiasa,mawakala hawa walipe kodi au CHADEMA wakusanye kwa niaba ya TRA (withholding tax) na kuzipeleka. Hapa nashauri TRA wawahoji viongozi wa CHADEMA na kama hawatatoa taarifa stahiki waburuzwe korokoroni.
Tuijenge nchi yetu.
Mafi kabisa
You look agitated. Get reminded that the Magufuli era is gone. By the way, you are also implying that CCM agents selling membership cards in offices should also pay the same tax because they get a bonus for each unit sold.
NakuhurumiaKamanda lipa kodi tujenge nchi
Nakuhurumia
Sawa BashiteNi ama uwe na kitambulisho cha wamachinga au TIN la sivyo nyie mawakala wa Chadema mtakumbana na mkono wa dola
Kwani ni mzee huyo au bibi kikongwe!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Bado mpo wazee wa kujipendekeza na kutafuta vyeo
Mleta mada tafuta mume akutoe nyege siku sio nyingi utarukwa na akili ukibaki hivyohivyo bila kugegedwa!