elimumali
Senior Member
- Jan 13, 2010
- 149
- 8
Yani watu wako chini hapa wamekimbia wote ofisini hapa
Ahsante kwa taarifa, but Avatar yako inanisikitisha, kuna wakubwa zetu humu.
Yani watu wako chini hapa wamekimbia wote ofisini hapa
Ahsante kwa taarifa, but Avatar yako inanisikitisha, kuna wakubwa zetu humu.
Kwanza hiyo traffic jama iliyopo Dar siku hizi..hata kama fire wako efficient sijui watapaa?
Leo it took me 3 hours on the road to reach the city centre mahali ambapo ningetumia dakika 30 tu!
.
Ahsante kwa taarifa, but Avatar yako inanisikitisha, kuna wakubwa zetu humu.
Thank you sana Eliumali for the useful post on this avatar. ingawa si jukwaa lake lakini duh imezidi hiyo avatar. tuwage na discipline kidogo hata kama hujulikani au huonekani. Vkeisssy do the necessary
hiyo avatar kama usemavyo mkuu, sio kabisaaaaa!!
Thank you sana Eliumali for the useful post on this avatar. ingawa si jukwaa lake lakini duh imezidi hiyo avatar. tuwage na discipline kidogo hata kama hujulikani au huonekani. Vkeisssy do the necessary