vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
Yani watu wako chini hapa wamekimbia wote ofisini hapa
Yani watu wako chini hapa wamekimbi awote ofisini hapa
yani bado hatujajua....umejuaje kama watu wanshangaa hapo badala ya kukimbiaaa..hahahaha tanzania kweli nyuma na hman hat afire hap acjui...
shem upo?umepotea kweli nimekusaka hapa leo ndo nakuona mzima wewe?nini kimetokea? mavuno house ndo siku hizi Benjamin Mkapa au sio?