Mavetrani wa ndoa na mahusiano unafuu uko wapi hapa?

Mavetrani wa ndoa na mahusiano unafuu uko wapi hapa?

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,596
Reaction score
40,838
Nani kati yao ana uhafadhari na kumvumilia na kumuoa/kuolewa naye na kwa sababu gani kwa mfano mimi nilioa Bikira ila ni mvivu kupita kiasi hata kusonga ugali wa watu 7 mpaka afu dishwe. Mpaka natamani mchapa kazi hata kama asingekua bikra.

Bikira lakini mvivu.
Mwenye akili lakini si mwaminifu.
Mcha dini lakini mzushi.
Mrembo lakini hajui kusoma na kuandika.
Mbaya sura lakini mwenye akili.
Mwenye msaada lakini mwizi
Mchapakazi lakini mchafu.

Kuwa mkweli, akina mama na akina baba, ili tuone nani mwenye unafu.
 
Njoo kwangu nina combo ya no 3 na 6
Mmh!! ila mwaname mchafu pia ni kipengere unakuta sahani na vijiko kitandani anashinda nyumbani na chupi ya mtoto kichwani kama kitambaa cha kichwani tangu asubuhi ajatandika kitanda na kubadili nite dress, isipo kua na moyo unaweza kimkimbia pia.
 
Mmh!! ila mwaname mchafu pia ni kipengere unakuta sahani na vijiko kitandani anashinda nyumbani na chupi ya mtoto kichwani kama kitambaa cha kichwani tangu asubuhi ajatandika kitanda na kubadili nite dress, isipo kua na moyo unaweza kimkimbia pia.
Daahhh huyu masuria watamsaidia kazi😒
 
Chukua unaewezana nae muishi, hakuna aliyekamilika

Ukitaka mwenye Sifa zote nenda China wakakutengenezee kwa AI au chukua udongo wako umuumbe
 
Wanawake wote ni sawa,ni wewe tu ulivyomfunza
Wewe unaonekana sio Vetran wanawake wako sawa ni tofauti sana tena sana, kuna moja anamdomo kama Radio huwezi kulala akianza kuongea mgine kuoga mpaka umfokea nk.
 
Nani kati yao ana uhafadhari na kumvumilia na kumuoa/kuolewa naye na kwa sababu gani kwa mfano mimi nilioa Bikira ila ni mvivu kupita kiasi hata kusonga ugali wa watu 7 mpaka afu dishwe. Mpaka natamani mchapa kazi hata kama asingekua bikra.

Bikira lakini mvivu.
Mwenye akili lakini si mwaminifu.
Mcha dini lakini mzushi.
Mrembo lakini hajui kusoma na kuandika.
Mbaya sura lakini mwenye akili.
Mwenye msaada lakini mwizi
Mchapakazi lakini mchafu.

Kuwa mkweli, akina mama na akina baba, ili tuone nani mwenye unafu.
Mvivu dawa yake kumtafutia Mercury(Hg) amsaidie kazi za nyumbani.
Mtu ambaye si mwaminifu means anatoa Potassium(K) hovyo hovyo hafai.
Mzushi haina shida as long as ni mwaminifu.
Memkwa - Gumbaru zipo atajifunza
Beauty lies in the eyes of the beholder - Toto baya zuri kwa Mama(Mmewe)
Weezy haufai atakuja kuchomwa moto.(X)
Mchafu pia hafai.(X)
 
Mkuu hizo ni mbomu ukiingia umeenda kujilipua bure, wanawake wasiku hizi wengi ni wa hovyo sana ni kutafuta mwenye unafuu tu angalau ukipata wa 35% kwa malengo yako inatosha
Ukiona unashindwa kufanya vetting ya jambo la kawaida kama hilo bas tatizo sio wanawake unaowaokota tatizo ni wewe. Pamoja na kwamba saivi kuna kizazi cha wanawake wa ajabu lakini ukitulia vizuri unaweza okota demu bikra alielelewa na wazazi wote na akawa na tabia nzuri tu japo kasoro za hapa na pale zipo.
 
Back
Top Bottom