UsijaliAsante Mesy
Hapo atakuwa anaenda halloween siyo kutoa mahari tena!Kwa mwanaume
Vaa suruali ya kitambaa ya kijani, shati la njano na tai nyekundu
Ni vyema uka vaa viatu vya pinki vya kawaida.
Mna tabia Mbaya kumkatisha tamaa mwenziioHapo atakuwa anaenda halloween siyo kutoa mahari tena!
Asante sana kwa mchango mzuri.Vaa suruali nyeusi(yaani pure black ya kushonesha iendane na mwili wako), shati zuri la kitenge mikono mirefu( la kushonesha) usichomekee, vaa viatu vyeusi vya kufunga na kamba, vaa soksi nyeupe, ni vizuri ukatupia na saa inayotight mkono sio inayochezacheza mkononi, usivae kofia wala miwani. Ni hayo tu Jomba langu
Asante sn, nataka iwe two in one mahari na engagement.Mkuu wangu hongera sana kwenye mahari usivae suti tafuta shati plain lenye rangi za kawaida nyeusi, kijivu itakua poa zaidi suruali nyeusi, au rangi nyingine isiong'aa sana chomekea alafu vaa viatu vyeusi si vya kamba, siku ya engagement tafuta suti single batani nyeusi na shati jeupe bila kusahau neck-tie nyeusi na viatu vyeusi, baada ya kumaliza nialike tujumuike pamoja.
Hahahaha nmezipenda sanaalaf zinavutia hasa
Hujapenda rangi hizo queen!?
Kwani mahari yenyewe anapeleka congo??
HahahahaaaaaaaaaKwa mwanaume
Vaa suruali ya kitambaa ya kijani, shati la njano na tai nyekundu
Ni vyema uka vaa viatu vya pinki vya kawaida.
Mti wa xmass huoKwa mwanaume
Vaa suruali ya kitambaa ya kijani, shati la njano na tai nyekundu
Ni vyema uka vaa viatu vya pinki vya kawaida.
Kwa mwanaume
Vaa suruali ya kitambaa ya kijani, shati la njano na tai nyekundu
Ni vyema uka vaa viatu vya pinki vya kawaida.
Kwa mwanaume
Vaa suruali ya kitambaa ya kijani, shati la njano na tai nyekundu
Ni vyema uka vaa viatu vya pinki vya kawaida.