Akina dada wanaotembea uchi ni mazuzu tu,hawajui thamani ya miili yao.Hivi hawajiulizi mbona wanaume huwa hawakai uchi?mwingine ukimuuliza atakwambia eti mpenzi wangu anapenda nivae hivi.Huyo ni mpenzi gani anaekutembeza uchi?mbona yeye hatembei uchi?huoni kama unajidhalilisha?Amkeni huo ni ulimbukeni tu.au ndo biashara matangazo.?