Mauzauza usingizini

Mauzauza usingizini

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,884
Reaction score
2,288
Habar wakuu

Naombeni ushauli wenu mara kadhaa imekuwa ikinitokea, kila nikilala haijalishi nalala mchana au usiku, juzi usiku nililala kushtuka usingizini najiona nimeinua mkono mmoja juu halafu nimeshika kisu nataka nijichome fahamu zinaludi vizuri najikuta nimenyoosha mkono tupu juu

Jana tena mchana wakati nimelala nakuja kushtuka mwili hauna nguvu yakufanya chochote najiona nadondoka kitandani kwenda chini nimetanguliza kichwa, fahamu zinaludi vizuri najiona nipo kitandani nimelala kawaida viungo ganzi.
ushauri wakuu hili ni tatizo gani.

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama weww ni mkristo tafuta msaada wa kiroho, kwa kiongozi wako.

Ndoto ni mlango ambao adui (shetani na vibaraka wake) wanaweza kuutumia kuleta hofu ndani ya mtu au madhara mengineyo. Kabla ya kulala muombe Mungu na ufunge mlango wa ndoto ili adui asiutumie.
 
Kama weww ni mkristo tafuta msaada wa kiroho, kwa kiongozi wako.

Ndoto ni mlango ambao adui(shetani na vibaraka wake) wanaweza kuutumia kuleta hofu ndani ya mtu au madhara mengineyo. Kabla ya kulala muombe Mungu na ufunge mlango wa ndoto ili adui asiutumie.
Asante mkuu lakini pia nashtuka nakutana na hali hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisumbuka sana na ndoto hizo last year, kuna mahali mpaka najikuta niko katikati ya vita na watu wanachinjana km Rwanda,kuokolewa ni pale mtu anataka kukupiga panga ww au kisu ndo unashtuka usingizi.kumbe ndoto
Zilitokea sana kiasi nikiandika ntajaza kitabu
 
Habar wakuu

Naombeni ushauli wenu mara kadhaa imekuwa ikinitokea, kila nikilala haijalishi nalala mchana au usiku, juzi usiku nililala kushtuka usingizini najiona nimeinua mkono mmoja juu halafu nimeshika kisu nataka nijichome fahamu zinaludi vizuri najikuta nimenyoosha mkono tupu juu

Jana tena mchana wakati nimelala nakuja kushtuka mwili hauna nguvu yakufanya chochote najiona nadondoka kitandani kwenda chini nimetanguliza kichwa, fahamu zinaludi vizuri najiona nipo kitandani nimelala kawaida viungo ganzi.
ushauri wakuu hili ni tatizo gani.

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Kanisani, kama huwa huendi. Kama huwa unaenda, kamweleze mtumishi wa Mungu. Tiba yake hii kitu inapatikana Kanisani tu basi!
 
Unapataje nguvu za kulala mchana?, mm ata nikitaka kulala nusu saa lazima niote napigana na mazombi, nipo kuzimu, nipo mbiguni.

Nilifikiria ni kwa nn nikapata jibu mchana yanipaswa kufanya kazi usiku nilale kuanzia saa 6.
 
Habar wakuu

Naombeni ushauli wenu mara kadhaa imekuwa ikinitokea, kila nikilala haijalishi nalala mchana au usiku, juzi usiku nililala kushtuka usingizini najiona nimeinua mkono mmoja juu halafu nimeshika kisu nataka nijichome fahamu zinaludi vizuri najikuta nimenyoosha mkono tupu juu

Jana tena mchana wakati nimelala nakuja kushtuka mwili hauna nguvu yakufanya chochote najiona nadondoka kitandani kwenda chini nimetanguliza kichwa, fahamu zinaludi vizuri najiona nipo kitandani nimelala kawaida viungo ganzi.
ushauri wakuu hili ni tatizo gani.

Asante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....baharia...
Kisayansi kuota ndoto ni mojawapo ya viashiria vya afya bora ya ubongo..Kwani ndoto huja pale ambapo ubongo hufanya kazi ya kuchambua kumbukumbu zinazofaa kutunzwa na zile za kufutwa...mara zote ndoto zinazootwa kwenye mchakato huu si rahisi kukumbukwa...
Lakini kuota ndoto na kuikumbuka yote kama muvi ni tatizo....tatizo kuu kuwa na msongo wa mawazo inasababisha na matatizo ya kijamii...Kama ya kipato...afya...mahusiano nk...
Tafuta suluhisho la matatizo hayo....acha kulala mchana...fanya mazoezi jioni.....tafuta pesa...japo wanasema pesa siyo kila kitu...lakini ukiwa nazo angalau utalala kwenye kitanda kizuri na chumba chenye hewa....na pengine utakuwa na Dem wa ndoto yako

Sent using Beretta ARX160
 
Kulala mchana ....

Nimepitiwa na kausingizi kidogo.
nimeota nasakwa na polisi..wamepita chini yangu hawanijui ila wanaenda kunifata nyumbani...

Wakati najiuliza nitawakimbiaje wakati simu na pesa vipo nyumbani..ndio nashtuka!

Nimeroa jasho kwa hofu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
anagalia aina ya mlo unaokula mkuu.Lakini pia unalalaje mchana?wewe ni mlinzi wa usiku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom