Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,705
Punguza Tungi. Mwili unapokuwa umejaa sumu ya tungi husababisha maluweluwe 'hallucinations'... Sehem ya ubongo inakuwa demaged...due to toxic.. Alcohol.
Hiyo stage ni hatari unaelekea kuwa alcoholic. Bila kunywa mambo hayaendi.
Utashindwa hata kutiana.. Utachapiwa mkeo.
Hata akishika kitu anakua anashake...! Kazini huez fanya kitu kbs ni km ubongo unakuwa umelala...! Mbaya sana aisee