Mauzauza usingizini

Mauzauza usingizini

Mkuu binafsi ninachoweza kukushauri tu ni kuzikataa na kuzikemea kwa jina la Yesu hizo ndoto kila unaposhtuka.
Pili Hakikisha unapolala mwili wako uwe huru I mean uwe at relaxing position, sio unavaa maguo ya kubana au kukunja miguu au mikono coz hii husababisha blood supply kwenye viungo husika kuwa ndogo nakusababisha ubongo kukutengenezea mazingira ya ndoto ili ushtuke upanyooshe hapo palipokunjika ili damu iendelee kusambaza kwa kiwango kinachotakiwa.
 
Mkuu unaonekana una msongo wa mawazo jaribu kupunguza fikra na mawazo mabaya, Jitahid kujichanganya na watu na kufanya vitu vitakavyokupa furaha
 
Mkuu binafsi ninachoweza kukushauri tu ni kuzikataa na kuzikemea kwa jina la Yesu hizo ndoto kila unaposhtuka.
Pili Hakikisha unapolala mwili wako uwe huru I mean uwe at relaxing position, sio unavaa maguo ya kubana au kukunja miguu au mikono coz hii husababisha blood supply kwenye viungo husika kuwa ndogo nakusababisha ubongo kukutengenezea mazingira ya ndoto ili ushtuke upanyooshe hapo palipokunjika ili damu iendelee kusambaza kwa kiwango kinachotakiwa.
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu natumia Sana Ila nikutumia huwa nalala tuu sipati chochote mpka asubuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly mkuu, kichwa/mwili wa mlevi haungiliki na mauza uza ya namna yoyote 😅, its not funny but mimi hiyo kitu naiamini kwa asilimia mia. Huwezi kuona au kusikia mlevi kaota ndoto za mahovyo hovyo hata siku moja.
 
Punguza Tungi. Mwili unapokuwa umejaa sumu ya tungi husababisha maluweluwe 'hallucinations'... Sehem ya ubongo inakuwa demaged...due to toxic.. Alcohol.

Hiyo stage ni hatari unaelekea kuwa alcoholic. Bila kunywa mambo hayaendi.
Utashindwa hata kutiana.. Utachapiwa mkeo.
 
Hivi hii ndoto ya kuota umekufa Ina maana gani hasa?
inategemea mkuu na jinsi tukio lilivyotokea kuna nyingine huwa zinamaanisha wabaya wako wanakuzika kwa kukufukia na mchanga ukiwa hai hii inamaanisha wanakufunga kimafanikio na kuna nyingine ambazo znahusu wewe kuuawa au kuwindwa na watu usiowaelewa(majini,wanga,wanyama, viumbe vya ajabu) ndotoni na zinajirudia hii ndio unatafutwa na roho ya mauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole Sana, hayo mazingira unayoishi siyo Rafiki Sana kwako,inawezekana tatizo likawa ndani ya nyumba unayoishi au mazingira yaliyokuzunguka, suluhisho Kama umepanga kwenye hiyo nyumba basi hama lakini Kama Ni nyumba yako basi unakila sababu ya kuzindika hiyo nyumba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom