Maunda Zorro we miss you

Maunda Zorro we miss you

Kulikua na ulazima wa haya bibie
nachukia sana hawa watu wenye kuwajibu wenzao kijingajinga i hate that uvumilivu ushanitoka atakaye nijibu utumbo na mm i wil do tena mara mbiliyake sometimes watu wanaandika tu sababu anaandika sorry km umechukia
 
nachukia sana hawa watu wenye kuwajibu wenzao kijingajinga i hate that uvumilivu ushanitoka atakaye nijibu utumbo na mm i wil do tena mara mbiliyake sometimes watu wanaandika tu sababu anaandika sorry km umechukia
Nafahamu kuna watu wanakera na Muda mwingine inabidi ujitoe tu ufahamu uende nao sambamba sema ,muda mwingine kero zao zinavumilika
 
Mmh daddy na wewe, mbona tunakuwaga na taste sawa mara nyingi lol. Those girls are simply talented
Teh teh..Hilo ni zao la malezi bora pia Douta..Mzazi ukiwa karibu sana na mtt wako utakuta tu kuna vitu mnaenda sawa
 
Teh teh..Hilo ni zao la malezi bora pia Douta..Mzazi ukiwa karibu sana na mtt wako utakuta tu kuna vitu mnaenda sawa
Hahaha exactly daddy ake, sasa maua sama, grace matata, afu Unamkumbuka yule hawa aloimba na diamond "nitarejea"... Huwa naona kama kuna Vitu vingi sana wanaendana
 
Hahaha exactly daddy ake, sasa maua sama, grace matata, afu Unamkumbuka yule hawa aloimba na diamond "nitarejea"... Huwa naona kama kuna Vitu vingi sana wanaendana
Douta usinikumbushe huyo Hawa aisee..Juzi kati nimeangalia interview yake unaweza kutoa machozi yani...Anatia huruma mpaka basi...Halafu kuna wimbo aliutoa huko poa tu..Ila haukupata airtime ya kutosha
 
Tuseme
Maunda katulia kwa mwarabu wanalea[/QUOT
Maunda katulia kwa mwarabu wanalea
Kwa hiyo kurudi kunako game la bongo flava ni ndoto daah nimemumis sana uyu binti coz alikuwa anajua mpk anakera.....yaan cjui akina vanessa cjui linnah wakasome kwa huyu mdada coz katoa nyimbo mbili ambazo mpk leo zinaishi
 
Douta usinikumbushe huyo Hawa aisee..Juzi kati nimeangalia interview yake unaweza kutoa machozi yani...Anatia huruma mpaka basi...Halafu kuna wimbo aliutoa huko poa tu..Ila haukupata airtime ya kutosha
Aaah maskini, yule she anajua sana basi tu maskini
 
Maua sama na Grace matata nawaelewa sana Douta

Hapo umepatia kwa maana hata mimi huwa napenda muziki mzuri na maua hunipatia kila mara ila naona kama karidhika kuwa mwanamuziki wa tuzo na audio zaid kwa maana amekuwa underground kwa kipind kirefu yaani ni zaid ya miaka minne

from niamini ft chid benz,crazy ft fa,sijiwezi,mahaba to this love ft ben pol.......ila maunda nae yupo vizuri maana nyimbo zake huwa timeless
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom