Maumivu yananitesa

Maumivu yananitesa

kweli ukichukulia mapenzi.serious utakufa mapema... kama hapokei simu.futa na linamba lake muweke black list atakapokuja kuhangaika we unamuinjoi tu... hamna love hapo ni mbabaishaji tu huyo...

Asante ndugu, wacha nijitahid.
 
Kuumia ni lazima kwa mtu uliyempenda. Lakini kila kitu ni kwa kiasi na mipaka yake...... usiendelee kuumia kwa mtu asiyekupenda. Jipe moyo maumivu yataisha na utamsahau na kumpata anayekufaa. Umenielewa LAKI????

Asante sana Happi, nimeweka matumaini makubwa sana kwake lakini ndo ivo tea, wacha nijitahidi. Natamani nipate wa kumwelezea walau nipae relief maan kama mawazo yananiua.
 
Naombeni maombi yenu, mpenzi wangu nampenda sana lakini tumegombana na ni wiki ya pili saivi hatuna maelewano, nampigia simu hapokei, msg hajibu. Hapa nipo kazini nimepigia kwa simu ya ofisini baada ya kugundua ni mimi ya ofisini sasa hivi hapokei.

Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipata.

Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.

He was made special for u eh! Unampenda mtu kuliko kujipenda mwenyewe? Mbona mlivyoanza mapenzi hukushirikisha wadau ? Anza na wewe mwenyewe. Jijali, jipende na jienzi na achana na mtu uliyekutana naye ukubwani na ameamua kuutesa moyo wako na nashangaa umemruhusu kukuumiza ! Jipende kwa asilimia 96 na wengine wape 4%. Mpende sana Mungu kwani hatokuacha kamwe.
 
Ni mambo mengi, lakini kikubwa tunagombana kisa hataki tukapime afya, akikosea hataki nimrekebishe ila ikitokea kwa bahati mbaya nimekosea hata kidogo tu au msg nmemjibu tofauti basi anasema tuachane eti mimi sitaki kuwa chini yake.

Kingine yeye ni mwanaume lakini hataki sex hata nikimwambia ansema sio priority yake,nikimuliza kwa nia nzuri tu isije ukawa una tatzo. basi ndo amezira eti nmemtukana. Yaani mpaka naihi nae kwa kuogopa badala ya kufurahi.

pamoja na hayo yote nampenda sana naumia sana,
hapa sasa umeeleweka, hakupendi huyo mwaya usijal utaumia sana but time will heal yu soon... uchune atakutafuta tuu.
 
unampenda malaya hawala zaidi ya mama yako muda unaotumia huo sungetumia kumjulia hali mama yako ungepata baraka nyingi sana fanya kazi usilazimishe kitu utakuja uumie
Hujui maumivu ya mapenzi wewe, mapenzi yanauma kuliko msiba
kama hujawahi kuumia hongera....
 
Nashindwa kujichanganya jamani, maana nikirudi nyumbani usiku nikiwa mwenyewe ni kulia tu mpaka naamka kichwa kinauma. Natahdi kumsau lakini wapi,

wewe ni mdada? pole sana kama unakunywa pombe kunywa sana ukiwa chumbani lakini can help
 
Ni mambo mengi, lakini kikubwa tunagombana kisa hataki tukapime afya, akikosea hataki nimrekebishe ila ikitokea kwa bahati mbaya nimekosea hata kidogo tu au msg nmemjibu tofauti basi anasema tuachane eti mimi sitaki kuwa chini yake.

Kingine yeye ni mwanaume lakini hataki sex hata nikimwambia ansema sio priority yake,nikimuliza kwa nia nzuri tu isije ukawa una tatzo. basi ndo amezira eti nmemtukana. Yaani mpaka naihi nae kwa kuogopa badala ya kufurahi.

pamoja na hayo yote nampenda sana naumia sana,

kumbe kuna makubwa namna hii, usiteseke bure tafuta nafasi sehemu nyingine hata mchezo hataki looh there's something wrong
 
Naombeni maombi yenu, mpenzi wangu nampenda sana lakini tumegombana na ni wiki ya pili saivi hatuna maelewano, nampigia simu hapokei, msg hajibu. Hapa nipo kazini nimepigia kwa simu ya ofisini baada ya kugundua ni mimi ya ofisini sasa hivi hapokei.

Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipata.

Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.

Jana sio leo na leo sio kesho yatapita tu kwa kuombana msamaha kwa mlokoseana
 
The message sounds as if its Fake!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyo siyo mpenzi wako tena,,futa hilo neno mpenzi,,,angalia ustarabu wako mwingne huyo hakutaki na wala hakupendi nahisi unavyojisikia lakini inabidi kuulazimisha moyo wako kuwa huyo siyo wako tena na apo ikute yupo bize na mwanamke mwingne wanakula maisha wewe hataki kukusikia,,,utaendelea kujiumiza tu kubali ushaachwa
 
Zamani mapenzi yaliwahi kunitesa sana, yaliumiza moyo wangu mpaka nikawa na jeraha, lakini nilivyoyajua sasa hivi ni burudani. yenyewe ndo nayatesa, nayaburuza ntakavyo,. sitokaa niumie sababu ya mapenzi tena, akinizingua leo kesho simkumbuki kama nilishawahi kukutana nae hapa duniani, huwa nadelete kila kitu chake kwenye memory ya kichwa changu, naanza na za simu, sms, hata sura yake naifuta kichwani mwangu, ole wake anipigie simu atakutana na maswali ya police. but simchukii wala simfanyi adui ila namfanya rafiki ili azidi kuumia.
 
pole sana my dia. Utasahau tu na litapita kama mengine yalopita
 
Naombeni maombi yenu, mpenzi wangu nampenda sana lakini tumegombana na ni wiki ya pili saivi hatuna maelewano, nampigia simu hapokei, msg hajibu. Hapa nipo kazini nimepigia kwa simu ya ofisini baada ya kugundua ni mimi ya ofisini sasa hivi hapokei.

Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipata.

Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.

Pole sana,maumivu (kama ugomv,hasira) hungia/hutokea ghafla lakini huchukua muda kutoka mtegemee na muombe Mungu mpenzi wako huyo atarudisha moyo wake kwako.Wewe si wa kwanza kukutana na jambo kama hili kwani hata kwenye ndoa hutokea pia.Wakati mwingine humarisha mapenzi zaidi.
 
Ni mambo mengi, lakini kikubwa tunagombana kisa hataki tukapime afya, akikosea hataki nimrekebishe ila ikitokea kwa bahati mbaya nimekosea hata kidogo tu au msg nmemjibu tofauti basi anasema tuachane eti mimi sitaki kuwa chini yake.

Kingine yeye ni mwanaume lakini hataki sex hata nikimwambia ansema sio priority yake,nikimuliza kwa nia nzuri tu isije ukawa una tatzo. basi ndo amezira eti nmemtukana. Yaani mpaka naihi nae kwa kuogopa badala ya kufurahi.

pamoja na hayo yote nampenda sana naumia sana,

mmmmmh kwa hiyo yeye hataki sex na anadai sio priority au nimeelewa vibaya! POLE AISE
 
Huyo hana shida na wewe sema na roho yako bi dada

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom