Maumivu yananitesa

Maumivu yananitesa

Kwa vile hajibu...bado anakupenda....kama hakupendi angelibadilisha mpaka laini ya simu....anachokifanya psychological torture...unachotakiwa kukifanya kaa kimya...ukikaa kimya utakua umefanya reversal psycho-logic. na hapo ataanza kuona umihimu wako...
 
ebu mfungulie mtoto wa mwanamme mwenzio PM bana umpe :baby:maujuzi ya kulea mwanamme.

Uchoyo tu:A S 13:

Kufanya romance ndio kitendo gani hicho?



Huna haja ya kuPM maana PM yangu nimeifunga isipokuwa tunaweza kujadiliana hapa hapa kama una maswali...
 
Huyu binti akikutana na mabazazi nahisi ndio ataugua hadi kufa kufa...

Analilia azibuliwe khaa!! akikutana na mipaka shume itamzibua kila tundu ambalo kajaaliwa na Maulana

Thanks you for the comment. Well received.
 
Kwa vile hajibu...bado anakupenda....kama hakupendi angelibadilisha mpaka laini ya simu....anachokifanya psychological torture...unachotakiwa kukifanya kaa kimya...ukikaa kimya utakua umefanya reversal psycho-logic. na hapo ataanza kuona umihimu wako...

asante left, ila mwenzio nashindwa. nimejaribu kufuta namba yake kwenye cm yangu pamoja na msg. Kwa sababu naijua kichwani najikuta tu napiga na kutuma msg.
 
ebu mfungulie mtoto wa mwanamme mwenzio PM bana umpe :baby:maujuzi ya kulea mwanamme.

Uchoyo tu:A S 13:


naona ananibania tu, sio kila kitu nitakijadli hapa kwenye public
 
Huyu binti akikutana na mabazazi nahisi ndio ataugua hadi kufa kufa...

Analilia azibuliwe khaa!! akikutana na mipaka shume itamzibua kila tundu ambalo kajaaliwa na Maulana

sililii kuzibuliwa ndugu, labda hujanielewa.
 
ni kwa sababu moyo wangu unampenda sana.
woooteee tulishawahi kupenda saaaanaaaa.......
mimi nilipoachana na mtu niliumwa hadi kulazwa..........hapo mimi ndo nilimwacha, lakini kwa jinsi nilivyompenda niliugua kuuvua utumwa. lakini nikapenda tena, na sasa nina furaha na amani........
Ni swala la kuuambia tu moyo wako nini cha kufanya
 
natamani sana the don, name siku moja niwe na furaha ya relationship. GOD HELP ME!
 
woooteee tulishawahi kupenda saaaanaaaa.......
mimi nilipoachana na mtu niliumwa hadi kulazwa..........hapo mimi ndo nilimwacha, lakini kwa jinsi nilivyompenda niliugua kuuvua utumwa. lakini nikapenda tena, na sasa nina furaha na amani........
Ni swala la kuuambia tu moyo wako nini cha kufanya

Asante fixed point, natamani moyo wangu ukubali na ufanye maamuzi kama ya kwako. Tatizo idara nifanyayo kazi lazima kuwasiliana naye kwa maswala ya kiofsi. mi natamani nisisikie hata sauti yake labda naweza nikamsahau
 
Asante fixed point, natamani moyo wangu ukubali na ufanye maamuzi kama ya kwako. Tatizo idara nifanyayo kazi lazima kuwasiliana naye kwa maswala ya kiofsi. mi natamani nisisikie hata sauti yake labda naweza nikamsahau
Ndo maana nimekuambia ongea na moyo wako.....
Ukishaamua kuachana naye hata ukimuona unamuona wa kawaida tu, sauti yake ndo kabisa hata haikushitui.
Kazi lazima ifanyike, na maisha lazima yasonge mbele
 
I believe in God one day yes.

...wala usiumie sana, huyo sio chaguo la Mungu, japo wewe unataka liwe chaguo lako. Omba kwa imani yako, tafuta mambo ya kukufanya usiwena mda wa kumuwaza, tafuta marafiki...yaani jichanganye, ila usikimbilie mapenzi kwanza..Kilala heri na pole Sana
 
Ndo maana nimekuambia ongea na moyo wako.....
Ukishaamua kuachana naye hata ukimuona unamuona wa kawaida tu, sauti yake ndo kabisa hata haikushitui.
Kazi lazima ifanyike, na maisha lazima yasonge mbele

asante, wacha nifanye hivyo naamini Mungu atanisaidia.
 
Back
Top Bottom