naomba ushauri mzee
kwahio niaache mzeeAcha nyeto...hapo lazima ulipiga bao 1 had misuli ya pumbu ika pasuka...pumzika nyeto kwa mwez mzima
hawakunambia aseVipimo vilisema una infection gani
Habari zenu wanajamvi.
Nakuja mbele yenu waungwana naomba ushauri juu ya hili tatizo la pumbu (korodani) kuuma.
Kwa sasa ni zaidi ya mwezi na maumivu yake yamekuwa ni ya kuvuta na si muda wote kuna kipindi hutulia kabisa hata wiki na mara nyingi huwa pumbu ya upande wa kushoto.
Vilevile napenda kujuzwa kama kuna mahusiano yoyote kati ya magonjwa ya zinaa na kuuma pumbu.
Natanguliza shukrani kwa msaada
Acha kumtisha mwenzioKisonono.kaswende.cancer ...jichagulie faster kimoja apo...
Niliwahi hisi labda ni hali ya mpito sasa naona kama inadumu.Mkuu umekutana na hali kama hiyo kwa miaka 4 hujasaka tiba? Kwanini sasa?