Maumivu ya Korodani/pumbu, kuvimba kwake na ushauri wa matibabu

Dogo usishangae,hiyo ni henia au waswahili tunasena mnyama katoka porini.ilinisumbua sana hii ile miaka ambayo Dk Mwaka alikuwa anawika ktk kuweweseka nikajikuta naenda pale kwake akanipiga Tsh180,000/= still sikupona nikaja kuponea mtaani kwa hawa wachuuzi wadogo wadogo wa dawa za kienyeji kwa Tsh4,000/= tu.hospital ukienda wanakushika shika wanakuandikia dawa ila nahisi hazisaidii chochote.


duu sasa ulitumiaa dawa ganii, ?
 
kweli hapo kwenye kuwaza sex huwa some time nafikiriaa zaidi sex , kiasi cha uume kusimama kwa muda mrefuu
Jitahidi kuyaepuka hayo mawazo utapona nashida itakuisha


yaaani short nikwamba unapowaza ngono kuna gland ambazo zipo responsible kwa shawa ,sasa ukiwaza tu ngono unazipatia taarifa kua ziruhusu shahawa kutoka , na ukijikuta huzitoi basi kuanzia mapumbu ,mpaka pemben apo kwenye eneo la mavuzi kwa ndani ,kutakuuma tu.

Wakati mwingine utajisikia kukojoa lakini ukikojoa nikamkojo kadogo nabado kanauma kwa mbali.
 
kweli hapo kwenye kuwaza sex huwa some time nafikiriaa zaidi sex , kiasi cha uume kusimama kwa muda mrefuu
Dogo hasikutishe mtu, hii ndio sababu kuwaza sex, kukaa na demu karibu na kudindisha ama kuangapia porn.

Jinsi ya kuepuka jizuie kudindisha au uache ivo vitu vitatu utakua sawa najua hapo ikitokea hata kutembea huwezi inauma kichizi.
 
Dogo hasikutishe mtu, hii ndio sababu.

Kuwaza sex, kukaa na dem karibu na kudindisha ama kuangapia porn.

Jinsi ya kuepuka jizuie kudindisha. Au uache ivo vitu vitatu utakua sawa.. najua hapo ikitokea hata kutembea huwezi inauma kichizi.


porno siangalii kabisaaa labda ni ivoo maana naona nikiacha kuwaza sex na kuwa busy maumivu hakuna,
 
Hiyo hali inatokana na uume kucmama muda mrefu sana mfano ukawa unamchezea demu bila kumgegeda hiyo hali huja na husababisha mtu mpka kushindwa kutembea
 
hiyo ni ngiri na mimi imenikuta inauma unapoamka hasa ukisimama mda mrefu nenda katafute dawa ya ngiri
 
Zimevimba ? Unapata homa ? Zimepanda juu ? Zimebadilika rangi ? Husikii kiuvimbe chochote ukigusa ?

Nenda hospitali haraka, achana na story za vijiweni, kudindisha hakusababishi korodani kuuma hiyo inaweza kua chronic testicular torsion(yani spermatic cord inajiviringisha taratibu) na ukichelewa kutibiwa utapata ischemia na watoto utaishia kuwasikia kwenye redio kingine pia inawezekana kua orchitis ingawa uwezekano ni mdogo kama kweli hujawahi kushiriki sex cha msingi fika hospitali ufanyiwe clinical examination na lab investigations.
 
Zimevimba ? Unapata homa ? Zimepanda juu ? Zimebadilika rangi ? Husikii kiuvimbe chochote ukigusa ?

Nenda hospitali haraka, achana na story za vijiweni, kudindisha hakusababishi korodani kuuma.. hiyo inaweza kua chronic testicular torsion(yani spermatic cord inajiviringisha taratibu) na ukichelewa kutibiwa utapata ischemia na watoto utaishia kuwasikia kwenye redio.. kingine pia inawezekana kua orchitis ingawa uwezekano ni mdogo kama kweli hujawahi kushiriki sex. Cha msingi fika hospitali ufanyiwe clinical examination na lab investigations.


sina homa hazipandi juu, nime ambiwa ni cheki U.T.I Kwanzaa
 
Habarii, natumaini mu wazima wa afya kabisaaaa, mimi nina tatizo moja hapaa limenitokea hivi karibuni la korodani zinaniumaaa kwa muda alafu zinaachaa sometime hata ukizigusaa unasikia maumivu kwa mbalii.

Sasa naombeni kujuaa suluhu, na nini inaweza kuwa sababu ya tatizooo hilii maana limeniogopeshaa haswaa coz hata tendo la ndoa bado sija shiriki, kabisaa tangu nizaliwe, labda kuna dawa.

Naombeni msaada wenu hapaa kuko na watu wenye taaluma tofauti na pengine wengine si mara ya kwanza kusikiaa hayaa.
Nenda hospitali ukapime mkuu,matatizo mengine yanahitaji utaalam na uchunguzi zaidi
 
Back
Top Bottom