Tatizo la maumivu sehemu ya Siri na kukojoa damu

Sir hamidu

New Member
Jul 14, 2023
3
6
Naombeni msaada, kama inavyojieleza hapo juu ni miezi kadhaa hilo tatizo limekua likijirudia rudia. Napata maumivu makali sehem ya korodani ambapo inapelekea muda mwingine kukojoa damu na nmeshaenda hospital tena za hali ya juu na kuambiwa sina ugonjwa wowote zaid ya kupewa dawa za UTI na za kupunguza maumivu.

Naombeni msaada jaman mwenye kujua dawa yake hata kama ni ya mitishamba nipo tayar.
 
Naombeni msaada, kama inavyojieleza hapo juu ni miezi kadhaa hilo tatizo limekua likijirudia rudia. Napata maumivu makali sehem ya korodani ambapo inapelekea muda mwingine8 kukojoa damu na nmeshaenda hospital tena za hali ya juu na kuambiwa sina ugonjwa wowote zaid ya kupewa dawa za UTI na za kupunguza maumivu.

Naombeni msaada jaman mwenye kujua dawa yake hata kama ni ya mitishamba nipo tayar.

Habari!

Pole kwa kuumwa.
Bado kuna maelezo zaidi yanahutajika ili kuwa na mwelekeo. Mengine twaweza kusema ni personal kama Umri.

Pia hatujapata ni vipimo gani umekwisha vifanya.

Ni vyema suala hili kuangaliwa na daktari bingwa wa njia ya mkojo au ambaye ana experience nzuri/kubwa kulingana na ulipo.

Lengo ni kupata mwelekeo mzuri na mwisho kupata matibabu sahihi.

A: Mfano:
1: Maumivu yako kwenye korodani tu au inahusisha sehemu ya tumbo/kinena au sehemu ya juu ya tumbo pembeni(kulia vs kushoto)?

2: Ndani ya muda husika, je ulipata ajali yoyote ya kudondoka?

3: Ndani ya muda husika ulijihusisha na suala la kimahusiano kwa uzito mkubwa/vigorously.

4: Kuna maumivu ambayo hutoka kwenye mfumo wa mkojo kuelekea kwenye korodani/hii ina maana yake.

5: Je kuna maumivu kati ya njia ya haja kubwa na njia ya mkojo?

6: Je kuna maumivu ya mgongo?

7: Kuna hitaji la kujua ni nini kinaanza kati ya damu au mkojo kutoka na kama vinaambatana na maumivu au hapana.

8: Geographia ya maeneo unayoishi au uliyokulia pia ni muhimu kujulikana kwa daktari.

9: Nk.

B: Kuna hitaji la kufanyiwa ukaguzi wa maeneo husika/physical examination.

C: Kuna hitaji la kufanya:

1: KUB altrasound, ili kufanya ukaguzi wa mfumo mzima wa mkijo kuanzia kwenye figo, mrija wa mkojo, kibofu na tezi dume.

2: Unaweza kuhitajika kufanya PSA kulingana na dalili na umri.

3: Unaweza kuhitajika kufanya CT Scan kulingana na mahitaji ya maelezo na ukaguzi wa daktari.

4: Upimaji wa mkojo wa kawaida kwa lengo tofauti(Microscope vs Strip ya machine).

5: Pia unaweza kuhitaji kuangaliwa njia ya mkojo kuanzia kwenye uume mpaka kwenye kibofu. Yote yatategemea A=>B=>C
Nk.



Matibabu mema.
 
Kama wewe ni mkulima wa mpunga au magimbi ( matopeni with barefoot)

Au ni mvuvi au unatabia ya kuogelea kwenye maji yaliyotuama huko nyuma .


Hicho ni kichocho until proven otherwise.

Nenda hospitali kubwa utapata msaada zaidi
 
Naombeni msaada, kama inavyojieleza hapo juu ni miezi kadhaa hilo tatizo limekua likijirudia rudia. Napata maumivu makali sehem ya korodani ambapo inapelekea muda mwingine kukojoa damu na nmeshaenda hospital tena za hali ya juu na kuambiwa sina ugonjwa wowote zaid ya kupewa dawa za UTI na za kupunguza maumivu.

Naombeni msaada jaman mwenye kujua dawa yake hata kama ni ya mitishamba nipo tayar.
Koradani zimevimba au ziko kawaida?
 
Habari!

Pole kwa kuumwa.
Bado kuna maelezo zaidi yanahutajika ili kuwa na mwelekeo. Mengine twaweza kusema ni personal kama Umri.

Pia hatujapata ni vipimo gani umekwisha vifanya.

Ni vyema suala hili kuangaliwa na daktari bingwa wa njia ya mkojo au ambaye ana experience nzuri/kubwa kulingana na ulipo.

Lengo ni kupata mwelekeo mzuri na mwisho kupata matibabu sahihi.

A: Mfano:
1: Maumivu yako kwenye korodani tu au inahusisha sehemu ya tumbo/kinena au sehemu ya juu ya tumbo pembeni(kulia vs kushoto)?

2: Ndani ya muda husika, je ulipata ajali yoyote ya kudondoka?

3: Ndani ya muda husika ulijihusisha na suala la kimahusiano kwa uzito mkubwa/vigorously.

4: Kuna maumivu ambayo hutoka kwenye mfumo wa mkojo kuelekea kwenye korodani/hii ina maana yake.

5: Je kuna maumivu kati ya njia ya haja kubwa na njia ya mkojo?

6: Je kuna maumivu ya mgongo?

7: Kuna hitaji la kujua ni nini kinaanza kati ya damu au mkojo kutoka na kama vinaambatana na maumivu au hapana.

8: Geographia ya maeneo unayoishi au uliyokulia pia ni muhimu kujulikana kwa daktari.

9: Nk.

B: Kuna hitaji la kufanyiwa ukaguzi wa maeneo husika/physical examination.

C: Kuna hitaji la kufanya:

1: KUB altrasound, ili kufanya ukaguzi wa mfumo mzima wa mkijo kuanzia kwenye figo, mrija wa mkojo, kibofu na tezi dume.

2: Unaweza kuhitajika kufanya PSA kulingana na dalili na umri.

3: Unaweza kuhitajika kufanya CT Scan kulingana na mahitaji ya maelezo na ukaguzi wa daktari.

4: Upimaji wa mkojo wa kawaida kwa lengo tofauti(Microscope vs Strip ya machine).

5: Pia unaweza kuhitaji kuangaliwa njia ya mkojo kuanzia kwenye uume mpaka kwenye kibofu. Yote yatategemea A=>B=>C
Nk.



Matibabu mema.
6. Ulimuahid mtu kumuoa halafu ukaoa mwingine eeeh? :D :D :D
 
Back
Top Bottom