ndio usake tiba sasa. Jipeleke tu hospitali kwa uchunguziMimi nimekuwa nasumbuliwa na shida ya kuumwa na korodani, huanza kwa kuvimba na napata maumivu makali sana ambayo hudumu kwa muda wa dakida 40 hadi saa na kupotea, hali hii nimedumu nayo kwa miaka 4 sasa. Wakati mwingine maumivu haya hupelekea kutokwa na manii hasa nikiwa najisaidia. Sijawahi saka tiba au kutumia dawa yoyote. Naomba msaada wa nini nifanye ili nipate tiba ya kudumu. Nashukuru sana
Korodani kuvimba na kuuma kuna uhusiano gani na punyeto?Tangu nizaliwe sijai fanya sex, kuna time inafika nafikiriaga sana mapenzi lakini sijawai kulala na msichana yeyote, nikishika kende langu naskia uchungu tatizo ni gani?
Tangu nizaliwe sijai fanya sex, kuna time inafika nafikiriaga sana mapenzi lakini sijawai kulala na msichana yeyote, nikishika kende langu naskia uchungu tatizo ni gani?
Nimewaza pia kuhusu testicular torsion but maumivu ya hiyo kitu ni severe sana na ngumu kuvumilika, hata muda wa kuandika hapa sidhan kama angepata.. pdx yang ni epididymo orchitis, ddx inguinal hernia, na pia muhimu kufanya scrotal Uss, Fbp for neutrophill level, then physical examination ifanywe kwa Uzuri, nadhan dx itapatikana.. kwa maana hiyo muhimu aende hospitalZimevimba ? Unapata homa ? Zimepanda juu ? Zimebadilika rangi ? Husikii kiuvimbe chochote ukigusa ?
Nenda hospitali haraka, achana na story za vijiweni, kudindisha hakusababishi korodani kuuma hiyo inaweza kua chronic testicular torsion(yani spermatic cord inajiviringisha taratibu) na ukichelewa kutibiwa utapata ischemia na watoto utaishia kuwasikia kwenye redio kingine pia inawezekana kua orchitis ingawa uwezekano ni mdogo kama kweli hujawahi kushiriki sex cha msingi fika hospitali ufanyiwe clinical examination na lab investigations.
Umeamua kwenda hospitali kwa sababu gani?
Sasa kama umeamua kwenda hospitali nenda upate tiba ukishindikana omba ushauri. Ila ukitaka ushauri kabla ya kwenda hospitali unaweza kwenda hospitali mawazo yako yakiwa na madoadoa.Kwasababu maumivu yananikosesha raha hata sjui yamesababshwa na nin
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo Mkoa Gani
Inaweza Kuwa Henia Ila Hospital Utapata Jibu Sahihi
Niko singida mkuu..ndio nataka kwenda jumatatu nkajue ilanimeina nianzie hpa kupata mawazo kidgo
Changamka Siku Hizi Shida Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama umeamua kwenda hospitali nenda upate tiba ukishindikana omba ushauri. Ila ukitaka ushauri kabla ya kwenda hospitali unaweza kwenda hospitali mawazo yako yakiwa na madoadoa.
Ukifika hospitali utaelelezwa.Nimekuja huku kutaka kujua nkienda hospital nionane na daktar anaehusika na nin hasa
Sent using Jamii Forums mobile app
KUNYWA ALOVERA KATA KIPANDE WEKA KWENYE KIKOMBE CHENYE MAJI KUNYWA KWA SIKU MARA MOJA.NA PIA KAMA ULIKUWA NA TABIA YA KUJICHUA ACHA.
Kumbe unajua ugonjwa sasa ya nini uhangaike.Hapana sina tabia yakujichua ila mda huu nimetoka ktk kamaabara uchwara nimeambiwa na UTI
Sent using Jamii Forums mobile app