ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,667
- 57,077
Nimemuona rafiki yangu leo anaumwa gego la juu aisee kwa jinsi nilivyosimuliwa Ni hatari.
Halali Wala hali vizuri hata kuongea anashindwa yaani mpaka kichwa kimevimba maumivu Ni ya mwili mzima.haya meno we yaone tu hivihivi Ni noma jamaa kapelekwa nyumbani kwao mwanza amekaa miezi sita jino linamsumbua Dawa za asili zimeshindikana kashauriwa akatolewe hospital ya rufaa na asitolewe na mtalaam ambaye Hana historia nzuri kwani jino amesikia linaweza hata kusababisha kifo.
Analia Kama mtoto asee sikuwahi kutegemea Kama jino linasumbua namna hii.
Halali Wala hali vizuri hata kuongea anashindwa yaani mpaka kichwa kimevimba maumivu Ni ya mwili mzima.haya meno we yaone tu hivihivi Ni noma jamaa kapelekwa nyumbani kwao mwanza amekaa miezi sita jino linamsumbua Dawa za asili zimeshindikana kashauriwa akatolewe hospital ya rufaa na asitolewe na mtalaam ambaye Hana historia nzuri kwani jino amesikia linaweza hata kusababisha kifo.
Analia Kama mtoto asee sikuwahi kutegemea Kama jino linasumbua namna hii.