Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
hakuna kitu kama hicho mkuu, hata uongezwe njia baada ya siku 40 kitu kinarudi kama mtoto, usifanye mchezo na uumbaji wa Mungu
SEMA KWA HUYU MKUU na wasi wasi huyo shemeji atakua alishawahi ingia Uwanja wa Vita (LEBA) na katika kujifungua akawa ameongezwa Njia na makosa ya madaktari wetu wa Bongo ndio madhara yake kama haya.