Maulid Mtulia Vs Salum Mwalimu

Mmezoea kuwaita kila wenye mawazo mmbadala ni chadema kana kwamba kuwa chadema ni haramu.mmeishiwa hoja mmebaki kuwajaza watu hofu tuu.at "tukutane kazini" kazi gani mbona graduate wapo mitaani
 
Kwahiyo wewe kinachokuuma ni Mtulia kujiuzulu unajuaje kabla Salum Mwalimu mtamchagua na kujiuzulu kwasababu nyie naona kuna biashara ya kuuza binadamu
 
Wana kinondoni Wanaohama ni wapinzani, hawaaminiki kupewa majimbo wanatuingiza kwenye gharama bora kuwapa ccm tu ndo wanaoaminika
 
Huwezi mchagua mbunge ambaye hajui majukumu yake...wabunge wasiojua majukumu yao walikuwa baada ya kupata uhuru ambao waliingia bungeni na walikuwa hawafahamu majukumu yao
 
Bwana Yesu alisema mtu hawezi kuwatumikia mabwana wawili.
Fikiria mtulia alikuwa anamtumikia Prof Ibrahim Lipumba, Maalim Seif na Bwana Freeman Mbowe yaani yeye alizidi hata mfano wa Yesu
\Hahahaha ni kweli mkuu yeye amemzidi mpaka Yesu aisee
 
Another shithole
 
Mavi
 
SIFA YA KUWA MBUNGE NI URAIA WA TZ, MIAKA 18 AU ZAIDI

SUALA LA UKAZ HALINA MAANA

Ndiyo maana wabunge karibu wote wanaish dar
 
Kweli mi sisiemu hakili zao ni mafinyofinyo.... Asa umeandika nini....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…