Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,912
- 3,720
UmejuajeNa ana wake 4 ,hivyo ana pesa ya kutosha kuwalisha
UmejuajeNa ana wake 4 ,hivyo ana pesa ya kutosha kuwalisha
Tajili
safili.
Dah.
Sijambo ngosha.Bi Swahili haujambo..?
Za mgayo..?Sijambo ngosha.
Za kunigaya..??Ndio nini tena ngosha?
Sielewi!
YeahMmh mimi sijakugaya mbona.
Mzima lakini?
Mbona unakuza mambo ndugu...?😂Aisee..!!!!🤔
Me napita tu...
Duh!Habari za umbea hizo kwanini usimtafute Kitenge mwenyewe akuambie, halafu una kiswahili kibovu sana mpaka kero.
HahahaAisee..!!!!🤔
Me napita tu...
Kupanga ni kuchagua. Kuna watu wana Nyumba kumi. Mwingine moja inamtosha na hela nyingine anakula maisha.Mimi namkubali sana huyu mtangazaji Mana ni mweledi kwenye kazi yake. Kwa ufupi ni fundi Sana.
Wiki hii yupo Finland na huwa kila wakati ni kuruka kwa ndege mataifa mbalimbali.
Sina nia mbaya lengo ni kujua tu basi.
Kama punda scanner za viwanja vyote vikubwa vingeshindwa kumnasa? hivi unafikiri airport zawenzetu nisawa na hizi za kwetu.Punda huyo. Ipo siku atakuwa kwenye 18.
Si kweli yeye tu ndio aalikwe kwa kipi zaidiAmeshawahi kujibu kwenye kipindi kimoja Azam TV ..kuwa anaalikwa na watu huko
Tupe ufafanuzi kwa kirefu kidogo kuhusu hiloYa Mauldi wa Kitenge yafunike na Kitenge ndugu yangu. Mji mzito sana huu. Hivi yule tajiri wa mafuta wa Morogoro yupo.
Nimeuliza swaliTupe ufafanuzi kwa kirefu kidogo kuhusu hilo