Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Ama kwa hakika unaweza kusema Mungu wa kanisani na msikitini, na kwenye milima na majabali amekauka kwenye nafsi za binadamu.
Kila post ya kingono ngono, maudhui ya mapenzi yanapata mileage mfano huko Twitter (X) , ni kufuru ni mwendo wa Angalia video kwenye comments.
Popote pale Insta, hapa jukwaa pendwa, fcbk, etc kote huko ni balaa tupu.
Huyo Twitter (X) hadi shetani anasubiri post za ngono na maujinga yanaenda kuangusha Dunia kiuchumi hali ni tena.
Ni hatari sana CCM itatawala milele sioni maajabu mapya ya kimapinduzi. Skewness towards foolishness acts is alarming.
Ni hayo shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz
Kila post ya kingono ngono, maudhui ya mapenzi yanapata mileage mfano huko Twitter (X) , ni kufuru ni mwendo wa Angalia video kwenye comments.
Popote pale Insta, hapa jukwaa pendwa, fcbk, etc kote huko ni balaa tupu.
Huyo Twitter (X) hadi shetani anasubiri post za ngono na maujinga yanaenda kuangusha Dunia kiuchumi hali ni tena.
Ni hatari sana CCM itatawala milele sioni maajabu mapya ya kimapinduzi. Skewness towards foolishness acts is alarming.
Ni hayo shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz