Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Jana kulikuwa na ndege ya Precision Air kutoka Johannesburg to Dar es Salaam, ndege ilitakiwa kuondoka saa saba usiku (1am ) lakini haikuondoka mpaka sasa hivi ninavyoandika hapa JF. Kutokana nandege kuwa mbovu ilibidi Precision Air iwachukuwe abiria na kuwapeleka sehemu inayoitwa Boksburg kwenye hoteli saa tisa usiku 3am. Leo asubuhi wamekuja kuwachukuwa abiria na kuwapeleka tena OR Tambo International Airport na inasemekana ndege itaondoka saa sita mchana (12pm) Mpaka sasa ndege haijaondoka abiria wapo Airport.
Kama ukiwa na program zako au appointments za kikazi au kibiashara hii sio ndege ya kupanda kwani itakuchelewesha kufanya shughuli zako. Siku zote ni ndege ya kuchelewesha abiria na wala hawakutangizieni wala kuku-sms kuwa kama ndege zao zina matatizo kwa hiyo itachelewa kuondoka.
Precision Air ni shirika bovu linaloendeshwa kisanii halina tofauti na Serikali ya M kw ere kwa tolii. Sijawahi kuzipanda ndege zao wala sitozipanda daima. Precision Air its time bomb linalosubiri kulipuka muda wowote ndege zao zote ni mbovu.
Abiria wakuondoka jana kwenda Dar bado wapo hapa OR Tambo Airport wanalalamika lalamika na kushangaa shangaa. Wameshaletwa kutoka hotelini
Get well Twiga mnyonge tunakusubiria kwa hamu
Update
Bado abiria wana check-in lakini ndege inasadikika kuwa itaondoka saa saba mchana (1 pm).
Haielewiki kuwa ndege ililetwa kimatibabu au imeugua ghafla, hizi ndege ukipanda ni sawa kama umepanda treni za Tanzania roho mkononi.
Mpaka sasa Abiria hawajaingia kwenye ndege, hivi sana ni saa 13:50 za South Afrika, ingawa walisema ndege ingeondoka saa 1pm bado abiria
Abiria ndio wameingia kwenye ndege sasa saa 14:00
Hatimaye mkweche unaelea juu ya anga unakuja Dar wapokeeni huko
Kama ukiwa na program zako au appointments za kikazi au kibiashara hii sio ndege ya kupanda kwani itakuchelewesha kufanya shughuli zako. Siku zote ni ndege ya kuchelewesha abiria na wala hawakutangizieni wala kuku-sms kuwa kama ndege zao zina matatizo kwa hiyo itachelewa kuondoka.
Precision Air ni shirika bovu linaloendeshwa kisanii halina tofauti na Serikali ya M kw ere kwa tolii. Sijawahi kuzipanda ndege zao wala sitozipanda daima. Precision Air its time bomb linalosubiri kulipuka muda wowote ndege zao zote ni mbovu.
Abiria wakuondoka jana kwenda Dar bado wapo hapa OR Tambo Airport wanalalamika lalamika na kushangaa shangaa. Wameshaletwa kutoka hotelini
Get well Twiga mnyonge tunakusubiria kwa hamu
Update
Bado abiria wana check-in lakini ndege inasadikika kuwa itaondoka saa saba mchana (1 pm).
Haielewiki kuwa ndege ililetwa kimatibabu au imeugua ghafla, hizi ndege ukipanda ni sawa kama umepanda treni za Tanzania roho mkononi.
Mpaka sasa Abiria hawajaingia kwenye ndege, hivi sana ni saa 13:50 za South Afrika, ingawa walisema ndege ingeondoka saa 1pm bado abiria
Abiria ndio wameingia kwenye ndege sasa saa 14:00
Hatimaye mkweche unaelea juu ya anga unakuja Dar wapokeeni huko