hii imetokea saa moja na nusu hivi kutoka sasa ni maeneo ya ilala Boma, lilikuwa gari dogo ambalo lilismama ili kusubiri kufungiuliwa geti kisha ikaja pick up akashuka mkaka akamfyatua risasi ya ubongo dereva, wa hiyo gari ndogo kisha akamfyatua mwanamama alokuwa kushoto kisha akawa pasi abiria wawili walokuwa wamekaa kiti cha nyuma.
kisha ajifyatua yeyey mwenyewe toka kidevuni hadi utosini.
sikutaka kushuhudia zaid manake nisije nikajikuta napatapao ya shavu nikasepa mdogo mdogo.
wamekufa watu watatu jumla na majeruhi 2.
mwali ilala boma nilipaona ni westgate ghafla sina hamu jamani
nilitraman nishuke nibebe kamkweche kichwan nikimbie.
lakin pia nilichoshangaa eti kuna watu walikuwa wanakimbilia kwenda kuangalia nikasema hivi wamesahau yale ya west gate??
Hebu tuwekeeni jina la huyo jamaa_asije kuwa mbiga mbwia unga kaua watu bila sababu...hapa namaanisha wivu wa mapenzi kama ndio sababu ya kuua watu ni ujinga....sema ilala wengi ni waarabu na jamii zao..pambafuuuuu
ukupiga hata tupicha tuwili tutatu na sisi tujionee jamani
jamani sikutaka kuwajua majina wala hata kupiga picha nilitimua mbio as nisije na mie nikakumbwa zahama.
picha niliyoipata pale si kuna klabu ya wazee sijui???...................inawezekana huyu muuaji alikauwa kasha walia mingle marehem wake.
that was westgate experience to me
muuaji atakuwa mtu wa kule milimaniiiiii
Ngoja niende hapo kupata supu,.....then will come back.
Yeah ni mambo ya Wivu wa kimapenzi.
Mfanyabiashara wa magari wa mwanza amemuua dada wa mchumba wake na yeye kujimaliza,kisa wivu wa mapenzi na kumjeruhi mchumbake,na mtu mwingine,. Source radio wapo na Masau bwire.
mie leo nimeogopa acha kabisa hata akili haijanikaa sawa nikasema najutaa kwenda boma asbh ya leo.
nimeamua kurudi ofcn hata kazi siwez kufanya kwa nilichokiona leo, tena bhana ni mita chache tu toka benk ya crdb
mmh!! tena uende pale??
yaani mimi hata staki kupita karibu na eneo hilo mwaka huu wote yaani ungekuwepo kojo ungelimwaga
Mfanyabiashara wa magari wa mwanza amemuua dada wa mchumba wake na yeye kujimaliza,kisa wivu wa mapenzi na kumjeruhi mchumbake,na mtu mwingine,. Source radio wapo na Masau bwire.
kama ni wivu wa kimapenzi ni sawa kabisa maana hawa watu waliotoka ubavuni kwetu wanatuona sisi kama vitega uchumi vyao vile
Daah RIP Gabriel Munisi