Abramovic
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 324
- 610
Acha kuongea kwa chuki na hisia badala ya uhalisia, ivi unadhan kazi ya kumtafuta mtu usiemjua ni ndogo kiac hicho? Msipende kutoa comment juu ya kitu usichojua utendaji wake unavyotekelezwa otherwise ungekua polisi then ukawa unajua jinsi utendaji wao unavyofanyika at least ungeweza kuongea. By the way issue hiyo ya mauaji ni hatari sana na hawawez kufanya km unavyoenda chooni tu bila hofu!