Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,264
- 4,740
mh !!!! commando aliyeuliwa anaitwa nani vile?
anaitwa marwa
ni mtoto wa kwanza.wa.marehemu Maj Gen Marwa, alipigwa risasi jumapili saa tatu.usiku na kufariki hapohapo
mh !!!! commando aliyeuliwa anaitwa nani vile?
hahaha,kamugisha naye ktk taarifa kwa vyombo vya habari kasema eti ni wivu wa kimapenzi.naona polisi wameshindwa kazi
Kutokana na kuwepo kwa jambazi ambalo hadi sasa limeshaua watu nane huko loryA tarime. Jeshi la police limeaza msako mkali wa jambazi hilo.
Mkuu wa police nchini ernest mangu ametuma team maalumu kwa ajili ya kuongeza nguvu kuakikisha jambazi huyo anazibitiw na amani inalejea kwa wananchi.
ngoja vijana wafanye kazi ila nadhani hii picha haiendani na ujumbe kwa sababu zifuatazo;
1.katika majeshi mengi duniani askari wa kike huwa hawaruhusiwi kwenda battle fronts,hata kama wakienda huwa sio wapiganaji.i mean kwenye mapigano huwa hawamo.ukiangalia kwenye picha askari wa pili kutoka mbele ni mwanamke.so,sidhani kama hapo ndipo wanamsaka huyo jambazi.
2.ukiangalia huyo askari wa kike alivyoshika hiyo bunguki yaani mkono hauko kwenye tigger,sasa atafayatuaje hiyo risasi,kama unapambana na adui wakati kidole hakiko kwenye trigger hayo majanga.hapo nahesabu huyo ni maiti.
3.ukiangalia hapo kwa juu kuna watu wanachungulia,u can't imagine,watu wametake cover wanamuwinda jambazi lakini hapo hapo kuna wengine wanachungulia.hahaha wonderful.
4.aina ya bunduki inayotumika inatia mashaka,hiyo SAR,unamfuata jambazi gani?koki piga koki piga koki piga,hajakumaliza tu?magazine yenyewe risasi 10 tu,unamfuata nazo jambazi gani?
Hilo Jambazi au Gaidi?Kutokana na kuwepo kwa jambazi ambalo hadi sasa limeshaua watu nane huko loryA tarime. Jeshi la police limeaza msako mkali wa jambazi hilo.
Mkuu wa police nchini ernest mangu ametuma team maalumu kwa ajili ya kuongeza nguvu kuakikisha jambazi hilo anadhiibitiwa na amani inarejea kwa wananchi.
Hilo Jambazi au Gaidi?
Kutokana na kuwepo kwa jambazi ambalo hadi sasa limeshaua watu nane huko loryA tarime. Jeshi la police limeaza msako mkali wa jambazi hilo.
Mkuu wa police nchini ernest mangu ametuma team maalumu kwa ajili ya kuongeza nguvu kuakikisha jambazi hilo anadhiibitiwa na amani inarejea kwa wananchi.
mwenyewe nimeidadavua hii picha nimeona inapamungufu. kama jambazi anahand grunade anaua wote kwa mpigo. alafu huyo wa mbele ana hiyo guard, jambazi linasiraha ya moto itasaidia nini?
lakini nilivyoiangalia vizuri nikajua ilikuwa ni drill maana hapo nyuma jengo ni kama la police. hapo walikuwa wanafanya mazoezi kabla ya kwenda kumchakaza nduli.
Kutokana na kuwepo kwa jambazi ambalo hadi sasa limeshaua watu nane huko loryA tarime. Jeshi la police limeaza msako mkali wa jambazi hilo.
Mkuu wa police nchini ernest mangu ametuma team maalumu kwa ajili ya kuongeza nguvu kuakikisha jambazi hilo anadhiibitiwa na amani inarejea kwa wananchi.
ngoja vijana wafanye kazi ila nadhani hii picha haiendani na ujumbe kwa sababu zifuatazo;
1.katika majeshi mengi duniani askari wa kike huwa hawaruhusiwi kwenda battle fronts,hata kama wakienda huwa sio wapiganaji.i mean kwenye mapigano huwa hawamo.ukiangalia kwenye picha askari wa pili kutoka mbele ni mwanamke.so,sidhani kama hapo ndipo wanamsaka huyo jambazi.
2.ukiangalia huyo askari wa kike alivyoshika hiyo bunguki yaani mkono hauko kwenye tigger,sasa atafayatuaje hiyo risasi,kama unapambana na adui wakati kidole hakiko kwenye trigger hayo majanga.hapo nahesabu huyo ni maiti.
3.ukiangalia hapo kwa juu kuna watu wanachungulia,u can't imagine,watu wametake cover wanamuwinda jambazi lakini hapo hapo kuna wengine wanachungulia.hahaha wonderful.
4.aina ya bunduki inayotumika inatia mashaka,hiyo SAR,unamfuata jambazi gani?koki piga koki piga koki piga,hajakumaliza tu?magazine yenyewe risasi 10 tu,unamfuata nazo jambazi gani?
Hata bullet proof hamna?jamaa atawatungua kama kule Masasi,BTW nimesikia kupitia radio moja kwamba jamaa ni mental disorder!?