Mauaji ya Kutisha Tarime

Mauaji ya Kutisha Tarime

Acha kuongea kwa chuki na hisia badala ya uhalisia, ivi unadhan kazi ya kumtafuta mtu usiemjua ni ndogo kiac hicho? Msipende kutoa comment juu ya kitu usichojua utendaji wake unavyotekelezwa otherwise ungekua polisi then ukawa unajua jinsi utendaji wao unavyofanyika at least ungeweza kuongea. By the way issue hiyo ya mauaji ni hatari sana na hawawez kufanya km unavyoenda chooni tu bila hofu!

utaendelea kuwa mpuuzi maisha yako yote, subili waje wafanyiwe wazazi wako au wewe mwenyewe, ndipo utakapojua kuwa polisi wanapaswa kuwajibika hapo, mtu gni usiye na huruma kwa watanzania wenzio, umeishavaa sifa zote za Mwigulu Nchemba, subili, na wewe yatakupata tu, matatizo hayana mwenyewe.
 
Ajabu ni kwamba mtu huyu hajakamatwa mpaka sasa hivi na Polisi ambao wanasema Intelijensia imeonyesha ila kwa wauaji kama hawa Intelijensia yao huwa haiwezi kuona na kutambua wauaji...
 
Kumbe bado hawajamnasa, Inabidi sasa saiga zifanye kazi tata, huo mziki waswahili hawawezi tata.
 
Hili suala nafikiri Polisi wamezembea kiasi.Hii siyo sehemu ya kumpeleka Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Polisi.Walitakiwa kuwapeleka Wapelelezi wazoefu (Senior Detectives) ili kufanya uchunguzi wa kina. Lakini naona sasa hivi Polisi wanafanya vurugu tu..Hii inaweza kuwa kesi ya kichaa -muuaji (Serial killer).Anaweza akawa ametokea popote (kwenye Majeshi ya Ulinzi, Usalama,Uraiani n.k).Ni wakati wa Polisi kuonyesha weledi zaidi siyo siasa.
Wakati wa Mwalimu Nyerere vikitokea vifo vya aina hii na Polisi wakazembea, mara moja Ikulu ilikuwa ikituma watu wake kufanya uchunguzi wao. Tukumbuke haya ni maisha ya watu tunayozungumzia..
 
hawa polisi kanda maalum hawafai,kazi yao kubwa ni kuwinda vijana wa bodaboda na kukamata pikipiki bila hata makosa na kuzibambikiza makosa kibao maana kama ujuavyo kwao lazma kosa lipatikanee.kila kijiji unakutana na roadblock wengine tunaogopa kuendesha pikipiki.haya sasa kiboko yao kaja mtu m1 tu amewashinda!!!!!. tehetehe
 
mwenyewe nimeidadavua hii picha nimeona inapamungufu. kama jambazi anahand grunade anaua wote kwa mpigo. alafu huyo wa mbele ana hiyo guard, jambazi linasiraha ya moto itasaidia nini?

lakini nilivyoiangalia vizuri nikajua ilikuwa ni drill maana hapo nyuma jengo ni kama la police. hapo walikuwa wanafanya mazoezi kabla ya kwenda kumchakaza nduli.

tru mkuu but hata kama ni mazoezi basi ni mazoezi danganya boya.hiyo drill ya kizembe hivyo cjui wataenda kumkamata nani
 
Ndugu wana bodi huku Tarime amejitokeza mtu mwenye silaha yaani bunduki, kwa taarifa zilizopo ni kwamba mtu huyu amekuwa akiuwa watu hovyo kwa mf. usiku wa kuamkia jana ameua watu zaidi ya wawili na mpaka naandika uzi huu hakuna tarifa kutoka kwenye vyombo vya usalama juu ya kukamatwa kwake.Ukifika huku tarime hii ndiyo habari ya mjini kila kona watu wanajadili swala hili.

Swali kubwa ambalo watu linawatatiza ni kwamba ni kwa namna gani vyombo vya ulinzi havijamkamata mpaka sasa. je mtu huyu ana mbinu kubwa za kujilnda kuliko jeshi la polisi.

Au hajakamatwa kwa kuwa bado hajaua watu wenye haki zaidi ya kulindwa katika nchi hii.Lakini tufahamu kuwa hofu imetanda na watu wanaishi kwa mashaka.
 
Mkuu fafanua kidogo kwenye silaha anayoitumia.
Ni bunduki aina gani kwa maana ni pisto, gobore au zile za kivita?
Kama ni AK atamaliza wengi sana.
naskia watu wa pande za tarime huwa hawakamatwi kamatwi kwa kuwa ni watata mno.
 
Mkuu fafanua kidogo kwenye silaha anayoitumia.
Ni bunduki aina gani kwa maana ni pisto, gobore au zile za kivita?
Kama ni AK atamaliza wengi sana.
naskia watu wa pande za tarime huwa hawakamatwi kamatwi kwa kuwa ni watata mno.
Tabia za kipolisi hizo. Unaambiwa kuna serial killer halafu unataka ufafanuzi. Mbaya zaidi unasema 'kama... basi ataua wengi'. Kweli we ndibalema.
 
Tuacheni siasa kwenye janga kubwa kama hili' ombi langu uchadema,uccm na udini na uvyama tuweke pembeni, huyo mtu sijapata habari za uhakika inasemekana hivi sasa si tarime yupo bunda. Naomba watanzania tuwe na ushirikiano kuvisaidia vyombo vyetu vya usalama kumtia ama kuwatia mikoni watu hao' isiwe lawama tu,kuepusha kamata kamata ya wasio husika' msako usiishie porini tu mpaka nyumba za wageni ,mengi yatapatikana pengine na pembe zitapatikanika'
 
Mmoja wa wahanga wa mtu huyu Katili ni Mhandisi wa Ujenzi Mwasi Matiko kwa kweli ni kitu cha ajabu sana ni mhimu kwa serikali kuchukua hatua kali dhidi ya wauaji kama hawa hata kwa kuwanyonga hadharani...

R.I.P Eng. Matiko na wahanga wote wa huyu sniper hatare, ila wakimdungua itastopisha mauaji ya aina hii.
 
Back
Top Bottom