Gavana katika karibia kila post una refer kwa njia moja ama nyingine Nyerere kupewa usaint. It makes me wonder kama tatizo lako ni lipi haswa. Kama tatizo ni Nyerere kupewa utakatifu be straight forward tujuw moja.
Nyerere kupewa U-Saint labda ni kwa mazuri alioyafanya,( KAMA KUNA ZURI ALIOFANYA) lakini haina maana asisemwe kwa mabaya ya ki-nyama alioyafanya. AS what you call him "Baba wa taifa" na ndio muasis wa chama cha CCM basi kila aliekuja / anaekuja kukamata U-raisi especcially alipokua hai then he is accounted for. Nyerere alijua kua 1995 ccm ilishindwa vibaya Znz na ni yeye ndie alieamrisha kua itangazwe ccm imeshinda. Nyerere amekaa madarakani mpaka ameshindwa kuendeleza TZ kimaendeleo, lakini hakuruhusu multy party. Musiseme kua Gavana analeta udini kwa kumsema Nyerere na U-sant wa kupachikwa, nini cha maana kafanya hata kupewa huo U-saint?
Kaimeza Znz kwa kufikiri na kutumwa na Vatican kwa kujaribu ku-control Uislam, lakini wapi wameshindwa Europe kuzuia Uislam usiendelee wameshindwa. Yaliotokea Znz na Pemba na yanayoendelea kutokea mabaya yote ni matunda yaliowachwa na Nyerere na Inshaallaah kila baya lifanyikalo basi yatamfika huko aliko. Mkimchukia Gavana mnichukie na mimi lakini huo ni UKWELI usiofichika na nafikiri nyote mliokua against the motion basi ni watoto wadogo mliozaliwa baada ya Dhulma za huyo Saint wenu NERERE. Aliwaweka bara na Ushamba hata Tv kawazuia musione lakini yeye anatizama butiama.