Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,739
- 155,430
Amani??? Nani kakwambia?Tanzania ni nchi ya amani??????
Ukiwa tajiri hamna amani, ukiwa masikini hamna amani.
Ukitaka amani ya kweli Mpe YESU maisha yako
Amani??? Nani kakwambia?Tanzania ni nchi ya amani??????
Jana tuliambiwa ni kigogo wa chama cha siasa leo ni tycoon.........which is which?
Umeona hapo nilipobold huo ndio ulimbukeni wa watz wanapopata hela, bank zipo za kufugia kuku?? siku hizi kila kitu online hakuna haja ya kutembea na mabulungutu ya hela ni kukitafuta kifo kwenye nchi kama hii ya watu waliokata tamaa ya maisha.
RIP taikun wengine wajifunze kutoka hapo
Amani??? Nani kakwambia?
Ukiwa tajiri hamna amani, ukiwa masikini hamna amani.
Ukitaka amani ya kweli Mpe YESU maisha yako
WORD!Amani??? Nani kakwambia?
Ukiwa tajiri hamna amani, ukiwa masikini hamna amani.
Ukitaka amani ya kweli Mpe YESU maisha yako
unapofanya biashara ya madini hela huwa unalipwa muda wowote iwe mchana au usiku .hakuna kuaminiana kutokana na jiwe umepata muda gani ,tatizo hutokea pale wengine wanajua nini unachofuatilia hapo njama zinaanza za kukupora pesaUmeona hapo nilipobold huo ndio ulimbukeni wa watz wanapopata hela, bank zipo za kufugia kuku?? siku hizi kila kitu online hakuna haja ya kutembea na mabulungutu ya hela ni kukitafuta kifo kwenye nchi kama hii ya watu waliokata tamaa ya maisha.
RIP taikun wengine wajifunze kutoka hapo
Jana tuliambiwa ni kigogo wa chama cha siasa leo ni tycoon.........which is which?
Hilo ni lidhamini la magamba limekufwaaa twendelee kuomba mamtu kama hayo yaishe yote.yaani milion 600 unatembea nazo! Namatanzanaiti mengi mengi wakat meme na majiran zangu hatujawah kushikaga hata m!! Me silii nacheka hahaha,yaani lijitu linapesa nyingi limekufa hata bila kuacha shule ya watoto yatima halina msaada wowote kwa jamii achen liende ni njia za 2015 zinafunguka
tutaaminije hii habari.....hakuna picha....?
mimi ni Tomaso jamani........mpaka nione picha......
Preta kweli aweke picha huko tuna ndugu jamaa na marafiki wengi.
Amani??? Nani kakwambia?
Ukiwa tajiri hamna amani, ukiwa masikini hamna amani.
Ukitaka amani ya kweli Mpe YESU maisha yako
WORD!
Ona, hata Mwanamke aliyemwamini kuwa wangestarehe pamoja kamuuza!
Sasa Tukimbilie wapi?