Mauaji ya kinyama ndani ya Premier Palace -ARUSHA

Heheheheheeheheheheheheeeeee!!!!!!!!!

Acheni nicheke mieeeeeee!!!!!!

JF tuna tabia ya kukimbia hata kivuli chetu. Leo tunaka picha ya marehemu mtu aliyekufa kwa kunyongwa.

Yaani hata wiki haijaisha hapa hapa tulilaani kitendo cha kuweka picha ya marehemu SHARO MILLIONEA!!!!!

Au kuna ubaguzi kwamba za mastaa zisiwekwe lakini sisi walalahoi ndipo tuanikwe hadharani katika mitandao.


JAMANI MBAVU ZANGU MNAZIVUNJA KWA KICHEKO Cha HUZUNI!!!!

ANGALIENI MWILI Huu HATA HAMUNIONEI HURUMA KUCHEKA SANA!!!!


View attachment 73685


MIZAMBWA
INANIUMA SANa!!!

kweli natmia kasm hakuna kitufe hcho
 
jamaa aliluwa meli wa hatari..yani alikuwa anawakopeshaga wale wa maasai wenye mashimo na landcruiser..jamaa wanahasira mpaka basi..jana hadi OLE SENDEKA alikuwa kwenye kikao chao..wamekazaje sura..ukibonga mbovu utakula risasi mpaka basi..jamaa inasemekana alikuwa na mwanamke kama wakikenya
..kapigwa kitu kama billion hivi kwasabu alikuwa na cash kama m600 na mawe..
mawe naweza kuamini na some cash but not 600m...hivi unajua volume yake kwa noti za elfu kumikumi?
 
December is terrible month kwa mji kama wa Arusha ati, Wizi ndio unashamiri usipime
 
Isije kuwa ndio ule mgao wa Tanzanite zilizoibiwa pale Mererani umemtokea puani
 
Hivi M600 inajaa kwenye begi la ukubwa gani? kwa noti za 10,000? naona hapa ni hadithi au? kama kweli basi bado tuna ulimbukeni wa kutisha.
 
Bro nadhani we uwajui hawa jamaa..hiyo ni kawaida sana kwao kutembea nazo...haijalishi kwenye begi au trunk ya gari..
 
Poleni sana kwa wafiwa. Hii ndiyo Tanzania. Maisha ya watu hayana thamani sana. Ingekuwa ni maandamano ya CDB ungesikia habari nyingi za inteligencia. Lakini kwa habari ya mauaji na haki za raia hakuna inteligencia, sheria wala polisi. Ni janga letu sote. Angalia mfano wa ng'ombe 25 na mwananchi mmoja Manyara aliyeuliwa na serikali eti inatimiza wajibu wake wa kulinda maliasili. Maliasili ni n ini zaidi ya uhai wa watanzania na maendeleo yao? Mali asili zitamsaidia nani ikiwa watanzania wanauliwa? Hao simba wanaolindwa ni mali asili zaidi ya Tanzania kuliko binadamu na hao ng'mbe waliouliwa? Hadi sasa kimya. Inamaana sheria za kukamata wahalilfu na vielelezo haiopo? Serikali nayo inaonekana imeridhia matendo hayo ya kinyama.

Kwa mfano huo, sishangai kuona mtu kanyongwa hotelini na wala hakuna hatua imechukuliwa. Na kama ni kweli kweli hakuna iliyochukuliwa ni mwendelezo wa ultamaduni wa serikali kutokujali shida za raia.

Jipeni moyo ndugu wafiwa, Mungu yupo, upo wakati ataingila kati na kufanya marekebisho katika Tanzania. Hata kama ni kwa njia ya gharama kubwa.
 
sio ule mgao wa zile chapaa zilizo lambwa kwenye strong room ya tanzanite one kweli ?
 
unapofanya biashara ya madini hela huwa unalipwa muda wowote iwe mchana au usiku .hakuna kuaminiana kutokana na jiwe umepata muda gani ,tatizo hutokea pale wengine wanajua nini unachofuatilia hapo njama zinaanza za kukupora pesa
au uhai wafanikishe wanachotaka ..

mimi ninayeuza nina haki ya kusema tukalipiane bank au sehemu nyingine na mda ninaotaka kutokana na mazingiya ya kiusalama ntakavyoyaona.
nafikri upeo wao mdogo tu ndio maana hayo majanga yanawakuta
 
hata mimi ningefanya vivo hvyo m mia 6 af unazurura nazo?wat kibao wamepgka af analeta magumash hawa wezi tu

Flora, ungefanyeke? na wewe ungemnyonga ukachukua hizo hela? ndicho unachosema ama nimekuelewa vibaya?

Amani???
Ukiwa tajiri hamna amani, ukiwa masikini hamna amani.
Ukitaka amani ya kweli Mpe YESU maisha yako

AMEN!

tutaaminije hii habari.....hakuna picha....?

Amini usiamini, hali ndo iko hivyo. Kutoluamini kwa Tomaso wewe kutakufanya ukose mengi.

A day after nilipata hapo, nikapata habari kutoka kwa chauffer wangu kuwa mpaka sasa security camera zimeonesha huyo jamaa alivyoingia na mwanamke, na pia baadae jamaa mwingine akaja akaingia chumbani hapo, then later huyo jamaa mpya na huyo mwanamama wakatoka pamoja, the rest is history kwa aliyekuea ndani.

Tusubiri matokeo ya uchunguzi wa Polisi ukamilike, maana nadhani ndo kilichobaki.
 
hebu fikiri mwanaapolo anaibuka kutoka mgodini usiku mfukoni ameficha jiwe,tanzanite ya gram kadhaa ameambatana na rafiki yake mmoja ,hawa wawili hawaaminiani ,wanafika kwa wajaluo wanatoa mzigo wao wanapewe ofa mf.jiwe lina thamani 200m ,mwanaapollo anashtuka kuwa kama jaluo amempa offa ya 200m je mjini kwa wahindi atapewa sh?anaamua asiuze lile jiwe asubiri hadi kesho yake aende mjini kuuza lakini usalama unakuwa ni mdogo kwake ,habari hizi zimeshavuja afanyeje huo usiku ,anarudi kwa jaluo anamwambia ampe hela ,jamaa anapokea ,usiku benki hakuna ,m pesa hakuna ,inakuwa nin janga tena anaamua apunguze mawazo anasokota bangi anavuta ,hapa anabadilika anaamua liwalo na liwe anatafuta jinsi ya kuficha hela zake hadi asubuhi .mwana jamii hapa utaona biashara hii hufanyika kwenye mazingira magumu hakuna huduma za benki ,na akijisalimisha polisi alale pale ,polisi nao wakipata taarifa balaa lingine linaanza ..wafanyeje
 
Hivi M600 inajaa kwenye begi la ukubwa gani? kwa noti za 10,000? naona hapa ni hadithi au? kama kweli basi bado tuna ulimbukeni wa kutisha.

600m kwa hawa jamaa wa mawe ni kitu kidogo sana,halafu biashara ya mawe lazima utembee na hela muda wote ukipata biashara mnamalizana haina kwenda bank
 
mimi ninayeuza nina haki ya kusema tukalipiane bank au sehemu nyingine na mda ninaotaka kutokana na mazingiya ya kiusalama ntakavyoyaona.
nafikri upeo wao mdogo tu ndio maana hayo majanga yanawakuta

Ukilushwa je?we haujui ile biashara ni tit for tat,haina baadae ile
 
Back
Top Bottom