Mauaji ya fumanizi Arusha

Mauaji ya fumanizi Arusha

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,410
Kijana mmoja kwa jina ADAM MANONDO mkazi wa Sakina auwawa kikatili huko Arusha jana jioni baada ya kufumaniwa akimla mke wa mtu kwenye gari.

Mama huyo ni mke wa mmiliki wa baa moja maarufu jijini Arusha (jina kapuni kwa sasa) na gari walilokuwa wakitumia aina ya VOXY ni la mama huyo.

Walikuwa wamepaki kwenye chocho moja huko maeneo ya kwa Iddi, Sakina na inasemekana walikuwa wamewekewa mtego na mwenye mke. (Samahani kwa picha)
 
Wakubwa zetu walisemaga mapenzi yanauaga
 
Haya sasa, umeua watu wawili. Na wewe unaenda kunyongwa. Sielewi faida iko wapi kwa kweli.
 
Si juzi tu huko huko walimuua kijana Wa kimasai kisa ana mahusiano na house girl arusha vip?
 
haya sasa mwanaume lazma akae lupango kujibu kesi ya mauaji alafu anamwacha mwanamke uraiani...akigawa nyuchi.
 
....mbona jamàa kavaa vizuri kama yupo disco ? fumanizi gani hilo .labda ni story tu wqmemuua,...
 
....mbona jamàa kavaa vizuri kama yupo disco ? fumanizi gani hilo .labda ni story tu wqmemuua,...
Life will not be as before! Haitajatokea huyu muuaji aje kuishi na huyo mke kama Ilivyokuwa mwanzo! Sasa ya nini kuuwa? Jamani tujifunze na kuanza utaratibu wa kupuuzia ili maisha yaendelee! Dawa ya mchepuko ni kuchepuka!
 
Kumpa mgoni adhabu ya kifo sio kumkomoa, kuna adhabu zake ambazo angejutia maisha yake yote. Haya na sheria ichukue mkondo wake.
 
haya sasa mwanaume lazma akae lupango kujibu kesi ya mauaji alafu anamwacha mwanamke uraiani...akigawa nyuchi.

Mkuu huyo hawezi kufungwa mana amefumania hapo hapo na kaua papo hapo. Ngoja wataalamu wa sheria waje watufafanulie zaidi ila ameua bila kukusudia. Inauma sana kuliwa mke tena mtu mzima analiwa na dogo kwenye mkoko uliomnunulia wewe. Hawa watu wamama watu wazima ni watamu lakini bora uvizie wajane au walioachika utakuwa huru kula papuchi zao mpaka useme sitaki tena watu wazima. Mke wa mtu ni noma
 
Picha hizi haziruhusiwi ni too graphic, zinaumiza!, next time kabla hujapost jiulize suppose mhusika ni ndugu au jamaa yako, ungepost?!.

Pasco.

Kama ameona yeye nasi tuna haki ya kuona. Mi sioni sababu ya kuficha hizo picha. Halafu angeleta mada hii bila picha najua ungekuwa wa kwanza kuhoji hizo picha. Tena kaomba samahani kama una wasi usifungue attachment
 
Mkuu futa picha tafadhali,labda ungetuma ya hilo gari unalolificha na huyo mwanamke mhusika alie hai,Arusha watu wanaishi kwa visa sana, na ukifanya uchunguzi wa kina utajua hiyo ya mwanamke ni mtego huyo alikua anatafutwa auawe tuu kutoka na kazi zao. Mwanamke mmiliki bar alafu asiwe na wanaume? Hakuna hata akiwa mbaya mtu akiwa pombe wachache wanao chagua.
 
Mkuu kwanza picha ulizoweka hujawatendea haki ndugu zake ungeziacha tu. Tatizo hapa labda mke naye alikuwa haridhiki kwa mume wake.
 
Mkuu huyo hawezi kufungwa mana amefumania hapo hapo na kaua papo hapo. Ngoja wataalamu wa sheria waje watufafanulie zaidi ila ameua bila kukusudia. Inauma sana kuliwa mke tena mtu mzima analiwa na dogo kwenye mkoko uliomnunulia wewe. Hawa watu wamama watu wazima ni watamu lakini bora uvizie wajane au walioachika utakuwa huru kula papuchi zao mpaka useme sitaki tena watu wazima. Mke wa mtu ni noma

Kama taarifa za kweli, wamesema mume alitega mtego. So alikuwa na intention ya kuua. Amepata muda wa kufikiria. Si kwamba kawafumania bila kutegemea. Alitegemea kuwaona, na alipanga kuua. Hapo hatopata huruma.
 
Back
Top Bottom