yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Kijana mmoja kwa jina ADAM MANONDO mkazi wa Sakina auwawa kikatili huko Arusha jana jioni baada ya kufumaniwa akimla mke wa mtu kwenye gari.
Mama huyo ni mke wa mmiliki wa baa moja maarufu jijini Arusha (jina kapuni kwa sasa) na gari walilokuwa wakitumia aina ya VOXY ni la mama huyo.
Walikuwa wamepaki kwenye chocho moja huko maeneo ya kwa Iddi, Sakina na inasemekana walikuwa wamewekewa mtego na mwenye mke. (Samahani kwa picha)
Mama huyo ni mke wa mmiliki wa baa moja maarufu jijini Arusha (jina kapuni kwa sasa) na gari walilokuwa wakitumia aina ya VOXY ni la mama huyo.
Walikuwa wamepaki kwenye chocho moja huko maeneo ya kwa Iddi, Sakina na inasemekana walikuwa wamewekewa mtego na mwenye mke. (Samahani kwa picha)