ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,788
- 42,309
- Thread starter
- #121
😂😂😂 aisee nomaSio bandindu, unatakiwa kichwani uwe umejaa mavi mengi sana.
Sio mavi kidogo, yawe mengi yanafurumia.
Shehena ya mavi.
😂😂😂 aisee nomaSio bandindu, unatakiwa kichwani uwe umejaa mavi mengi sana.
Sio mavi kidogo, yawe mengi yanafurumia.
Shehena ya mavi.
Kamuulize yeye, si mlishirikiana hapa, au mara hii ushasahau?Kumkabidhi kazi gani mkuu😂😂
Kwanini amekufanyaje?
Relax 👍🥶🥶🥶🥶🥶
Ooh 😂 sawa mkuu asanteKamuulize yeye, si mlishirikiana hapa, au mara hii ushasahau?
Miaka ya nyuma nikiwa mdogo nasoma Kuna Mzee wa makamo ( kijana Mzee)ambae alikuwa ni jirani yetu, yeye alikuwa ni muuaji wa kukodisha( ndio kazi yake) jamaa huyu alifahamika na baadhi ya watu pale kijijini kwa kazi yake hiyo. Matukio yake mengi alikuwa akiyafanya sehemu za mbali hasa huko maeneo ya usukumani.Mauaji, nini humfanya mtu aamue kumuua mtu mwingine?
Hivi karibuni tumeona visa vya mauaji vikiongezeka, hasa vile vinavyohusishwa na siasa hapa Tanzania.
Kuna maswali mengi yananijia kichwani
Je, haya mauaji hufanywa na mtu mmoja au huwa ni kundi la watu?
Ni nini hutokea kwenye akili ya mtu mpaka afikie hatua ya kumuua binadamu mwenzake?
Mimi binafsi damu inanitisha
Nikiona damu nyingi napata trauma kabisa
Sasa hawa wanaoua, tena kwa ukatili, huwa hawahisi chochote?
Anapomkata mtu, kumpiga risasi au kumchoma moto, halafu yule mtu anaomba msaada au huruma, kweli moyo hauwaumi?
Baada ya tukio, huwa hawapati mawazo, ndoto mbaya au kujilaumu?
Kuna msemo unasema, Ukianza kula nyama ya mtu huachi
Huo msemo una maana gani?
Kwa nini kuna watu wanaonekana kuua mara kwa mara bila kuacha?
Na ukimuua mtu halafu ukaiona familia yake, watoto wake au wazazi wake wanalia kwa uchungu, hilo halikugusi kabisa mpaka ukaweza kuendelea kufanya mauaji mengine?
Ukiachana na kesi ambazo mtu anahukumiwa na mahakama kwa mujibu wa sheria (na si kwa kusingiziwa), hawa wanaoua kiholela huwa hawana utu?
Hawana huruma? Hawana dhamiri? Au kuna kitu kinabadilika kwenye akili yao mpaka wanaona kuua ni jambo la kawaida?
Kila mtu atakufa siku moja(Haki hii)
Sasa kwa nini umpe mtu maumivu ya kukatwa, kupigwa risasi au kuchomwa moto wakati angekufa kwa wakati wake?
Kwa mtazamo wenu, nini hasa kinamsukuma mtu kuwa muuaji? Ni malezi, mazingira, siasa, pesa, chuki, magonjwa ya akili au kuna kitu kingine?
Karibuni kwa hoja
ShesRise_1 🤚
Same here na ni mwanaume , nikiona damu nafreeze kabisa, mapigo ya moyo yanaenda kasi plus baridi mixer Joto 🥶🥶🥶Relax 👍
Wale walioua trh 29 , oktoba lile zoezi halikuwa la mara yao ya kwanza.Does killing once make someone want to kill again?
Hapa ni lazima tushughulike na root causes, yani mfumo mzima unaoleta sababu za mauaji (chuki binafsi, visasi, itikadi n.k).Swali fikirishi kaka
Wewe unaonaje namna gani ya kumzuia mtu asifikie maamzi ya kuua
Inaonekana hivyoWale walioua trh 29 , oktoba lile zoezi halikuwa la mara yao ya kwanza.
Damu inatisha ila kuna watu naona damu kwao ni majiSame here na ni mwanaume , nikiona damu nafreeze kabisa, mapigo ya moyo yanaenda kasi plus baridi mixer Joto 🥶🥶🥶
If chances are present wataua tena massively and fearlessly.Inaonekana hivyo
Yaani anapokua anatekeleza mauwaji anajiona yupo kazini😳Miaka ya nyuma nikiwa mdogo nasoma Kuna Mzee wa makamo ( kijana Mzee)ambae alikuwa ni jirani yetu, yeye alikuwa ni muuaji wa kukodisha( ndio kazi yake) jamaa huyu alifahamika na baadhi ya watu pale kijijini kwa kazi yake hiyo. Matukio yake mengi alikuwa akiyafanya sehemu za mbali hasa huko maeneo ya usukumani.
Alikuwa akikodiwa kuua watu ambao wamefanyiana visasi, kutuhumiana mambo ya kishitikina, kudhulumiana mashamba, Biashara n.k
Sasa basi watu hawa hawana huruma hata kidogo, kwani wao wanajiona wapo kazini na wanatimza wajibu wao kama wewe uendavyo kazini kwako na kutimiza wajibu wako.
Mtoto: baba yupo kazini🙌Mzee huyo alikuwa na familia kamili, mke na watoto hakuwa na kazi nyingine zaidi ya hiyo na familia yake ilitegemea kazi hiyo ya BABA " nadhani sasa unaweza kunielewa"
Nipewe dili sawa ila sio la kuua mtuMfano wewe mtoa mada siku ukikosa kazi na usiwe na pesa ya kuhudumia familia yako unajisikiaje? Ukipata dili la pesa je??
Bora mengine tusiayajue kuna gharama ya kujua mamboKazi Yao ni Moja tu kuuwa tu bila kuuliza sababu.
We waone watu wanatembea hivi barabarani mnasalimiana mnacheka lkn ungewajua walivyo......!!
Ngoja tuoneIf chances are present wataua tena massively and fearlessly.
Una utu na utulivu bro umeeleweka mnoo respect 🙏Hapa ni lazima tushughulike na root causes, yani mfumo mzima unaoleta sababu za mauaji (chuki binafsi, visasi, itikadi n.k).
Waatu wengi ambao huwa wanaingia kwenye violence huwa wamezungukwa na mazingira ya chuki, vurugu, au propaganda zinazohalalisha ukatili, mazingira yakibadilika, uwezekano wa vitendo vya kikatili kutokea huwa unapungua kwa kiwango kikubwa.
Issue pia ni kwamba pale ambapo sheria ni dhaifu au hazitekelezwi, uwezekano wa vitendo vya kikatili kushamiri ikiwa ni pamoja na mauaji yenyewe ni mkubwa sana kwa sababu uwajibikaji hakuna.
Wenye dhamana wanatakiwa kufanya jambo asante sanaHobbes aliwahi kusema ukosefu wa sheria madhubuti huwa unapelekea state of fear , yani kila mtu anakuwa na haki ya kujichukulia sheria mkononi, lakini ikiwa sheria zinatekelezwa na adhabu kali kutolewa kwa wanaofanya vitendo hivyo, mauaji yatapungua kwa kiwango kikubwa sana.
Kaa kimastaaNgoja tuone
Kwamba ?Kaa kimastaa
Sawa ngoja tuoneUzuri huko kwa Mungu wanaemtumainia hakopeshi, Aliyetuma, aliyetumwa wote kazi wanayo. Urais na uwaziri mkuu unaishia Duniani tu.
Zawadi yako hiiMimi kwenye kafara natofautiana na wewe. Itokee nimepewa masharti nimtoe kafara adriz de mbusii ama mdogoee Jagina Al-mukheef Tanganian Malaria 2 wala sisiti chinja nakuwawahisha faster kwa Mudi huko.
Hahahahahaaaaa wee jamaaZawadi yako hii
![]()
120K views · 12K reactions | PREACH THIS EVERYWHERE! Our ancestors were not defeated in a fair fight; they were the victims of a calculated, generational ambush that weaponized our greatest cultural strength against us: our profound, trusting hospi
PREACH THIS EVERYWHERE! Our ancestors were not defeated in a fair fight; they were the victims of a calculated, generational ambush that weaponized our greatest cultural strength against us: our...www.facebook.com