Mauaji: Nini kinamfanya mtu aamue kuua?

Mauaji: Nini kinamfanya mtu aamue kuua?

Huo ni uamzi wangu, siyo wako, "kuacha kufuatilia hii mada".
Kama hutaki niifuatilie, fanya uchawi nisiione humu jukwaani.

Sijakuandama, ninakueleza ukweli. kwamba mada yako ni mbovu.
Shukrani 🤝
 
huyo Samia aliyasema haya maneno mwenyewe.
Sasa na wewe unayarudia humu humu!
Sasa naanza kuona tabia zilezile alizonazo Samia, zile za ulaghai mwingi ndani yako.
Sawa mkuu👍
 
Hapa point yako ni ipi ?
Kuua unaona ni kawaida ?
hilo kwakweli namuachia Maulana,
ambae ndie pekee ana mamlaka ya namna ya kila moja wetu kwa wakati wake muafaka na bila kuchelewa hata sekunde moja atakavyo R.I.P

imani yangu thabiti inanizuia kubabaika na jambo hilo ambalo halizoeleki wala kukwepeka kwa wanadamu na viumbe vyote alivyoviumba, bali inanipasa kujiandaa kiroho na kimwili katika safari hiyo muhimu kuelekea kwenye makao yake ya milele aliyotuandalia:NoGodNo:
 
Mauwaji mengi ni visasi. Ukiacha haya yenye sura za kisiasa, mengine ni visasi. Kuna watu wanaua hata kwa malipo ya shs 500000.
Kesi za ardhi, wake za watu, mali za urithi, na dhuluma zinapelekea watu kufanya mauwaji.
 
hilo kwakweli namuachia Maulana,
ambae ndie pekee ana mamlaka ya namna ya kila moja wetu kwa wakati wake muafaka na bila kuchelewa hata sekunde moja atakavyo R.I.P

imani yangu thabiti inanizuia kubabaika na jambo hilo ambalo halizoeleki wala kukwepeka kwa wanadamu na viumbe vyote alivyoviumba, bali kujiandaa kiroho na kimwili katika safari hiyo muhimu kuelekea kwenye makao yake ya milele aliyotuandali :NoGodNo:
Sawa sawa 🐒
 
Mauwaji mengi ni visasi. Ukiacha haya yenye sura za kisiasa, mengine ni visasi. Kuna watu wanaua hata kwa malipo ya shs 500000.
Kesi za ardhi, wake za watu, mali za urithi, na dhuluma zinapelekea watu kufanya mauwaji.
Watu wana roho ngumu sana
Na wala haiwasumbui wakishafanya mauwaji?
 
Kalamu hivi hizo hasira juu yangu ni kwasababu nimeshindwa kupangilia mada vizuri tu?

Au kuna jingine unalo rohoni dhidi yangu?
Namna uli vyo panic inashangaza 🙌
 
Kalamu hivi hizo hasira juu yangu ni kwasababu nimeshindwa kupangilia mada vizuri tu?

Au kuna jingine una rohoni dhidi yangu?
Namna uli vyo panic inashangaza 🙌
huyo ni mwalimu wa kiswahili darasa la 6,
lazima akurekebishe pale anapo ona hapaja kaa sawa kifasihi :VeryBased:
 
huyo ni mwalimu wa kiswahili darasa la 6,
lazima akurekebishe pale anapo ona hapaja kaa sawa kifasihi :VeryBased:
Mbona sasa kawa mkali sana

Hawezi kufundisha kwa ulaini laini bila kufoka😂

Lol 😆 ebu aniache mie
Mara nina tabia kama za Samuya heh
 
Kalamu hivi hizo hasira juu yangu ni kwasababu nimeshindwa kupangilia mada vizuri tu?

Au kuna jingine unalo rohoni dhidi yangu?
Namna uli vyo panic inashangaza 🙌
Tazama hapo chini ya bandiko lako hili anayechekelea na kushangilia; mzoga mmoja uliowahi kuitwa Tlaatlaah!

Nilipoacha kujibu hayo uliomaliza nayo katika mabandiko yako mawili ya mwisho kunielekezea mimi, nilijuwa yamekwisha.
Sasa naona unaniita tena hapa!

Sijui maana yako ya ku'panic' ni nini. Sioni lolote la kufanya nipanic kwenye mada hii.

Mimi nilitoa ushauri tu, jinsi ulivyowasilisha mada yako, sikuwa na la ziada ya hapo.
Lakini naona ni kama unataka niendelee na malumbano.
 
Mbona sasa kawa mkali sana

Hawezi kufundisha kwa ulaini laini bila kufoka😂

Lol 😆 ebu aniache mie
Mara nina tabia kama za Samuya heh
itakubidi umzoee tu,
maana saa zingine huyo mwalimu anajisahau na kujikuta kama vile yupo darasani anafundisha silabi:pedroP:
 
Back
Top Bottom