😂😂😂😂😂😂Muwa + Pera
Papai na embe dodoTukiacha parachichi na ndizi ambayo ni maarufu, je ni matunda gani mengine tunaweza kula sambamba na ubwabwa?
Ila wee jamaa unanichekeshaga sana.hahahahahahah
muwa bana weee! hutakaa usahau kata vipande vidogo vidogo then chnganya humo! jamani mwee!! tamuuu!Tukiacha parachichi na ndizi ambayo ni maarufu, je ni matunda gani mengine tunaweza kula sambamba na ubwabwa?