KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,500
- 2,781
Wote tuna misalaba tunayoshindwa kuitua
Haha soma vizuri mama ni dola elfu kumi na tatu sawa na karibu millioni thelathini za kitanzaniaVocha efu 13?
Nipe siri ya mafanikio mkuu, kutoboa mwezi na vocha ya afkumi na tatu
Yan kwa rate kavu tu ya 2300 ni milioni 29 na laki9,, hahahaaaaa uwii sina uhakika kama kweli ziko katika USD..Haha soma vizuri mama ni dola elfu kumi na tatu sawa na karibu millioni thelathini za kitanzania
Mwenzetu sijui hata anaishi wapi
So atupe siri ya mafanikio anafanya biashara gani asee
Nimecheka sanaHaha soma vizuri mama ni dola elfu kumi na tatu sawa na karibu millioni thelathini za kitanzania
Mwenzetu sijui hata anaishi wapi
So atupe siri ya mafanikio anafanya biashara gani asee
Halafu unatumia technoWote tuna misalaba tunayoshindwa kuitua
Baba hiyo ni dolla... Ana maanisha vocha Milion 27Vocha efu 13?
Nipe siri ya mafanikio mkuu, kutoboa mwezi na vocha ya afkumi na tatu
Nmeunga kifurushi cha wafanyabiashara, elf30 kwa mwez, nillipia mwezi wa kabla, wakachelewa nitumiaVocha efu 13?
Nipe siri ya mafanikio mkuu, kutoboa mwezi na vocha ya afkumi na tatu
Oneplus 9 proHalafu unatumia techno
Maisha hayana formulaMara garage mara boda boda, mara mafuta ,haijulikani vyema unatumia usafr upi ,
Ndo iliyonimenya mwezi huuPs5 ndo imesema ukweli ni tsh jmn😂😂😂😂
Hakuna uhalisia.Wote tuna misalaba tunayoshindwa kuituaView attachment 2406730View attachment 2406731
Weee hakunaaa, airtime M zote hizo ye ni nani? Hata kma hatumjui 😂Baba hiyo ni dolla... Ana maanisha vocha Milion 27
Siku ukimiliki gari utajua maana ya hivyo vyoteMara garage mara boda boda, mara mafuta ,haijulikani vyema unatumia usafr upi ,