Tafakari_nami
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 779
- 1,514
UCHUMI: Serikali ya Tanzania imesema inatarajia kukusanya na kutumia Tsh. Trilioni 49.34 katika Mwaka 2024/25 ambapo kati ya Fedha hizo, Tsh. Trilioni 6.61 zitakopwa kutoka Soko la Ndani na Tsh. Trilioni 2.98 zitakopwa kutoka katika Soko la Nje
Wizara ya Fedha imeeleza kuwa katika mipango ya Matumizi, Tsh. Trilioni 33.55 zitatumika kwa Matumizi ya Kawaida na Tsh. Trilioni 15.79 zitatumika kwenye Miradi ya Maendeleo ikiwemo Kilimo, Elimu, Barabara, Maji, Umeme, Afya na ukamilishaji wa Bwawa la Nyerere (JNHPP)
Swali langu mbona 💰 fedha zinazo kwenda kwenye matumizi ya Kawaida ni nyingi kuliko 💰 fedha zinazo kwenda kwenye maendeleo.
Alafu matumizi ya kawaida ni matumizi ya aina gani wakuu, heri matumizi ya maendeleo wame fafanua ila matumizi ya kawaida hapa nipo njiapanda.
Wizara ya Fedha imeeleza kuwa katika mipango ya Matumizi, Tsh. Trilioni 33.55 zitatumika kwa Matumizi ya Kawaida na Tsh. Trilioni 15.79 zitatumika kwenye Miradi ya Maendeleo ikiwemo Kilimo, Elimu, Barabara, Maji, Umeme, Afya na ukamilishaji wa Bwawa la Nyerere (JNHPP)
Swali langu mbona 💰 fedha zinazo kwenda kwenye matumizi ya Kawaida ni nyingi kuliko 💰 fedha zinazo kwenda kwenye maendeleo.
Alafu matumizi ya kawaida ni matumizi ya aina gani wakuu, heri matumizi ya maendeleo wame fafanua ila matumizi ya kawaida hapa nipo njiapanda.