Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
kama ni mimi naforward hiyo msg kwa simu ya mshikaji then namwambia mshikaji anifowadie tena same msg, na anitumie msg nyingine inayosema SAMAHANI MKUU NILITAKA NIMTUMIE SHEMEJI YAKO HIYO NIMEKUTUMIA WEWE, SI UNAJUA TENA MAJINA YAMEFATANA, NIWIE RADHI, VIPI MAMBO MENGINE YANASEMAJE LKN? SHEMEJI HAJAMBO?)
Halafu namwambia mpenzi wangu nimekufowadia msg ya mshikaji kanitumia alikosea alikuwa anamtumia mpenzi wakei uone watu wanavyodanganya ktk mapenzi, hata akibisha nikifika home namuonyesha zile nilizotumiwa.
N:B wakati huo Sent items nyeupeee.
hii BALAA:becky::becky: