Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,221
- 2,930
we umeanza mambo yako, na ysirudi humu tenamie nashika simu yake bila tatizo ila tusipende sana kuchezea simu ni hatari kwa afya zetu. Nalog off
PIA USIISHIE KWENYE SIMU TU AKIRUDI MUULIZE NJIANI KAONGEA NA NANI NA UDAI UDHIBITISHO. KAMA NI KAZINI FANYA HIVO HIVO. AFU IKIWEZEKANA MUEKEE MPELELEZI UJUE KILA AFANYALO. PIA MWAMBIE KILA AKITONGOZWA NA KUKATAA AKUPE LIPORT, KWA SIKU NA WEEKI. uKIWEZA HAYO THEN UNAYO HAKI YA KUPEKUA SIMU YAKE YAKIKUSHINDA JIULIZE KAMA NI SAHIHI KUMCHUNGUZA MWENZIO. NA KAMA MTU HUMWAMINI KWA NINI UNAYE MAAANA USIPOKUTA USHAHIDI UTASEMA KAFUTA. HESHIM MWENZIO NA ELEWA HUWEZI KUMCHUNGA MWANADAMU MWENZIO. WAKIAMUA KUTOTUMIA WASILIANO YA SIMU UTAJUAJE? NDIO MAAANA MWASHAURIWA KUWA ABOVE 18 KUHIMILI MIKIKIMIKIKI YA MAPENZI AMBAYO NDO RAHA YENYEWElately naona wapenzi walilalamika kuhusu wapenzi na simu...either ni kwamba mpenzi hatumi sms au kuhusiana na kucheki simu ya umpendaye
sasa kuhusiana la la kwanza kabla ya simu sii mapenzi yalikuwepo na pia watu walikuwa wanakuwa na mahusiano ya kimapenzi...vipi sasa kuwe na msisitizo wa mpenzi kukutumia sms au akupigie??
kuhusiana na la pili...kama mtu unampenda una haki ya kucheki simu yake ili ujue kama unaibiwa au lah na pia kama mtu huna la kificha kwa nini uogope mpenzio kushika simu yako??
Du honest nashukuru sana kwa ushauri pia nafurahi kusoma opinion ya dada Green imenifariji sana ingawa cjasema zakwenu sio.
Huenda yule x ni wivu kwa kukosa kamashine kalikokuwa kanamfariji pia najitahidi sana kuromance b4 na huwa nanyonya kila eneo co chumvini tu bali hata bomba la maji taka.
Kifupi najua amemic coz what am doing najua ni guyz wachache tunafny co so rahic kumpata wa kumfanyia.
We endeleza tu hayo mautundu kitandani ya romance then ukiingia pia unakuwa mtundu wa kugusha pande zote,achana na mambo ya kutafuta sijui dawa mwisho hutaharibu kabisa utapata limkono a,balo haina faida au halidindi
Sio wanawake wote wanapenda ,madude makubwa,wengi wanapenda kuchezewa zaidi
ni kama unataka kumwambia SIZE DOES NOT MATTER?
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?
Pole dada,ila hata mr nae hana heshima,mke ana hadhi ya kipekee bana,wanaume wakati mwingine sijui tunakuaje!
mtu mzima hatishiwi nyau anajua utarudi tuuMpe MR. masharti ya masaa 24 akiri kosa lake, akuombe radhi, awachane na huyo wa kuja la sivyo unafungasha na kuondoka.
Hiyo ni Plan B, Plan A ondoka hivi sasa, airudi hupo.
Hamjambo MMU! hivo unavopokea simu ya mr. wakati hayupo na kw bahati mbaya au nzuri, ukaitika vizuri haloo habari yako nikusaidie nn mr hayupo katoka mara moja na simu kaacha, unakutana na sauti ya kike nzuri anakuuliza unapokea simu yake wewe ni secretary wake? msonyo mrefu mara simu anakata na hapohapo anatuma msg inasomeka( maraya golikipa mkubwa we piga kelele wenzio twala) hii inakuwa imekaa vp wajameni, wakati uliyepokea simu ni mke wa ndoa hivo, mbaya kuliko unamuuliza mr huyu nani na maana imetokea hivi na hivi nayeye anakuambia ata simfaham, hivo inawezekana vp mtu usimfaham alafu anaamka na mitusi hivi! hivo katika hali km hii mapenzi yakipungua utamlaum mkeo kweli? Ieleweke kwamba hatuna masharti katika simu zetu yeye anashika yangu time yoyote tu na mimi nikihitaji kumpigia mtu wa tigo ndio nashika ya kwake maana mitandao yetu tofauti. Je wana MMU Ingekuwa imekutokea ww ungefanya nn?