Kisali.TechnitianJr.
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 592
- 182
Eti, great thinker? Are you serious?
sioni kama kunashida pia humsaidia kumvalisha na kutupa zilizotumika, pia hupenda avae masaa mawili na kubadisha. hapo humkumbusha mwenyewe, naponda shopping pia huzinunua mwenyewe za kutosha. najisikia fahari kuwa na mke anaye nipenda pia nampenda. asante mungu.
Gilo, hebu tufahamishe kwanza jinsi yako
Utoto raha sana. Hebu mfikie Dark City na Asprin na ndoa zao za mwaka 47 wamepitia mangapi? Tena wanawake tunavyokuwa na shida nyingi, na maisha ya kisasa ya kuishi wenyewe. Kuna siku mwanaume anajikuta ndo inabidi akutolee pedi chafu, akuogeshe na akuvike safi. Na ahakikishe anakulisha. Ndo maana kuna ndoa ngumu watu hawaondoki. Manake kumpata mwenye utu ni kazi sana aisee.
Kuna m'baba aliniambia mkewe akiwa kwenye siku hataki hata amguse mkono. Na anatamani amfukuze kitandani kha!
Madame nimebadili jina sasa naamini confusion hazitakuwepo tena!merry x mass!Gilo, hebu tufahamishe kwanza jinsi yako
Naona mkaidi wewe, nimekukataza hutaki sikia. UTI itakuumiza acha hizo, halafu ni udhalilishaji wa midume. Kama hutaki unyanyasaji wa kiume, nawe acha unyanyasaji wa kike.Haitakiw mume/mpenzi aone,maana wengine wana kinyaa na anaweza asinyonye k kabisa,au kumwambia kila mara nipo bleed haipendez mwambie iwapo anaomba kitu raha yake
Labda wakati unaivaa maana inakuwa safi lakin chafu mim mwenyewe naona kinyaa na ni yangu mwenyewe