Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
ngoja aje fidel atathibitisha!
halafu:KWANINI CONDOM ZA KIKE HAZIJAUSHIKA SANA ULIMWENGU WA WADUMISHA MILA?
Kutokana na uzoefu wangu wa kumega mega mwanaume ndo mwenye maamuzi ya kuvaa au kutovaa kondom si mnakumbuka siku ya kwanza mlivyo kutana na huyo mwenzio lazima mwanaume alikuwa wa kwanza kukumbuka kondomu lakini mlivyo megana kwa round kama 6 hivi najua baadae mwanaume akaamua kutundika kondomu kwa kigezo sasa mmejuana na wewe mama/mwanamke ukakubali lakini najua ulikataa ile ya kuzuga jamaa akakwambia unamaana huniamini basi ukaamua kutatua jamaa akaendelea kucheka na nyavu mpaka kesho.