Hooo mkuu mim nilikua n mwanachama mzuri nilipo kua shule ya bweni! Lakini kitu kilicho nisaidia ni sport! napiga basketball evry day jioni na najikuta nimesahau Nye*o mwaka w pili huuTupe siri ya mafanikio yako jemadari maana unaweza kuwa suluhu ya watu wengine
Hapo kwenye kuharisha umeleta chai tu wala hamna lolote.Kuna demu mmoja wakati wa kugegedana nilipoichomoa tu kondomu aliitupa chini ya uvungu huyu hata kuiona hakutaka.
Niliyenaye sasa hv yeye huwa lazma anikumbushe ndomu bila ndomu sipigi game, lakini kati kati ya game huwa naichomoa na kupiga kavu na huwa hajui kama nimeichomoa.
Nilichokuja kugundua ni kwamba wanawake wengi hawapend kondomu na akikuambia utumie kondomu ujue yupo siku za hatari. Mim binafsi sizpend pia kwan kila niktumia huwa naharisha na sijui ni kwa sababu gani..
Kwanini usubiri kuulizwa? We vaa kuwa responsible, mbona kila kitu mnapenda kuwasingizia wanawake as if nyie hampati madhara yoyote?Kuna ukweli kwenye yote yaliyoongelewa! She wengi wanasemaga vyovyote pouwa kwenye kutumia au kutotumia! Wengine hata hawaulizi
Hapo kwenye kuharisha umeleta chai tu wala hamna lolote.
Avae ya nini? Kwanza mnavaa ili iweje. Kama mtu humuamini, kwani lazima mfanye ngono. Mm huwa nafanya ngono na ninao waamini na wao wananiaminiMara nyingi mwanaume ukiwa faragha na girlfriend/mke wa mtu/mchepuko uamuzi ni wako kuvaa au kutovaa kondom.
Hawa wasichana walio wengi hawana mda wa kumkumbusha mwanaume avae ndom na anaekumbusha hayuko serious,ukimkomalia unafanya nae mapenzi bila kondom.
Halafu tendo likiisha unakuta mwanaume mawazo kibao na mwenzie hana hata wasawasi, hivi hii ni makusudi au mzuka wa tendo unakua mkubwa mpaka hatukumbushani?
Wadau hembu tuone experience zenu isije ikawa ni mimi tu.
Wanawake wanapaa siokama eliaKwa style hii lazima wanaume tupotee duniani. Hakuna namna
Na hii ndio imesababisha ukienda kwenye kliniki za kuchukua ARVs katika nchi nzima almost 80% ni wanawake.Inasikitisha sana poteza muda siku ndugu upite kwenye hizo clinic ndio utajua hali ikoje wanawake ndio wahanga wakubwa kuna haja ya kufanyika juhudi binafsi ili kuwasaidia.wanawake kwenye condom ni kama hawazipendi..
cha kushangaza hawanaga wasi wasi kabisa..
hata kupima hawaogopi wala nini..
wao wakishasisimka huko chini hawawezi hata kujali afya zao zaidi ya kutaka game tu iwe kavu kavu iwe kwa zana wao poa tu.. kazi ni kwako