MimiT
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 599
- 388
Ningependa hasa kuelimishwa matumizi ya facebook. Umuhimu wake ni upi? Kwa upande wa wenye ndoa...ni sahihi kujiunga na facebook? Najua wengi mtanishangaa lakini naamini kuwa aliyeanzisha facebook alikuwa ana nia nzuri tu lakini kadri cku zinavyoenda naona kama matumizi yake yamekuwa ndivyo sivyo. facebook ina encourage mahusiano yasiyo halali. (kwa mtazamo wangu)