Matumizi ya facebook...hasa kwa wenye ndoa..

Mwenzenu nina muda mrefu tangu nijiunge lakini hayo mnayoyasema hayajanikuta na wala sina mpango nayo nashukuru imenikutanisha na marafiki zangu wa shule na chuo tulioachana nao siku nyingi cha muhimu ni wewe kujitambua chukua cha muhimu na achana na vinavyokukwaza
 
Mambo ya ajabu ni mengi aisee kule Fb..!

Charminggirl tuhame nini... Mbona humu kunaboa! Twende tukachungulie MMU..
 
Last edited by a moderator:
Mwenzenu nina muda mrefu tangu nijiunge lakini hayo mnayoyasema hayajanikuta na wala sina mpango nayo nashukuru imenikutanisha na marafiki zangu wa shule na chuo tulioachana nao siku nyingi cha muhimu ni wewe kujitambua chukua cha muhimu na achana na vinavyokukwaza

Sure thang!
 
Hivi binadamu unaongozwa Na vitu? Au wewe akili yako ndo unaongoza vitu. Kwani FB hukulazimisha kuingia kwenye mahusiano? U will be Insane I think. Huwa nawashnagaa pia wale wanaodai eti kondomu si aha Asians ngono? How? Jamani let's be driven with our minds and intelligence but not be driven by things. Wewe ni mwanadamu dereva wa kila kitu. Kama utatumia wewe FB vibaya it is you, lakini si FB inakutuma ni umalaya wako tu. FB ukiitumia vizuri ina many things positive.
 
Mwenzenu nina muda mrefu tangu nijiunge lakini hayo mnayoyasema hayajanikuta na wala sina mpango nayo nashukuru imenikutanisha na marafiki zangu wa shule na chuo tulioachana nao siku nyingi cha muhimu ni wewe kujitambua chukua cha muhimu na achana na vinavyokukwaza

Hao wanasema ni waongo Wakubwa, they are driven by things, not their minds. Hata Mimi nimekutana Na watu tuliopotezana kitambo sana, since 1998. Pia nimepata wapya wengi wasaidizi.
 
Ningependa hasa kuelimishwa matumizi ya facebook. Umuhimu wake ni upi? Kwa upande wa wenye ndoa...ni sahihi kujiunga na facebook? Najua wengi mtanishangaa lakini naamini kuwa aliyeanzisha facebook alikuwa ana nia nzuri tu lakini kadri cku zinavyoenda naona kama matumizi yake yamekuwa ndivyo sivyo. facebook ina encourage mahusiano yasiyo halali. (kwa mtazamo wangu)

sio sahihi kabisa facebook imeshavunja ndoa za watu wengi, ni sehemu inafaa wasiokua na mahusiano
 
Hivi binadamu unaongozwa Na vitu? Au wewe akili yako ndo unaongoza vitu. Kwani FB hukulazimisha kuingia kwenye mahusiano? U will be Insane I think. Huwa nawashnagaa pia wale wanaodai eti kondomu si aha Asians ngono? How? Jamani let's be driven with our minds and intelligence but not be driven by things. Wewe ni mwanadamu dereva wa kila kitu. Kama utatumia wewe FB vibaya it is you, lakini si FB inakutuma ni umalaya wako tu. FB ukiitumia vizuri ina many things positive.

Huo ndio ukweli uliousema. Yaani inavyopondwa FB utadhani yenyewe ndio inakupa tabia hizo mbaya wakati watumiaji wana akili zao timamu na utashi wa kuamua.
 
Back
Top Bottom