Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,843
Nimeipata hii Mshana Jr. Hakika ni Elimu muria kabisaHata kwa wale wafugaji, walima bustani za mbogamboga, maua, mabwaya ya urembo na hata samaki matumizi ya chumvi yamesadifu matokeo bora kimwili na hata kiroho kwa kukinga na kuondoa nguvu hasi zote kiroho na vimelea ama bacteria waharibifu.. Ila haya hatuambiwi maana biashara za watu zitakufaView attachment 2717054
Sent using Jamii Forums mobile app