Hongera kwa walioleta uzi wa Chumvi ya Mawe

stoneblock

Senior Member
Feb 28, 2023
128
357
Nimekuwa nikifanya biashara na udalali kwa shida sana hadi siku nimeanza kutumia chumvi ya mawe sisemi ni dawa ila imani huponya

CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i

Imenisaidia duka langu naona hela sasa sio kama zamani

Imenisaidia kupunguza na kumaliza madeni korofi

Imenisaidia kufanya biashara na watu niliokuwa nimegombana nao kiasi cha kutosemeshana

Matumizi
Nunua chumvi ya mawe sokoni hata ya 500 tu, weka kijiko kimoja kwenye maji ya kuoga ogea asubuhi na jioni hadi utakapoona mambo yamekubali

Pia soma:
 
Hakuna cha chumvi ya mawe wala nini hizo ni blaah blaah

Ungekuwa una akili kwa sasa ungefanya uchunguzi kuangalia ni nini kimeboresha biashara yako na kuongeza kipato chako ukomae humohumo na uboreshe zaidi
ndio Tyr ss mwenzako kasha amini ktk chumi ya maweee kama ambao wameshaamini Kwa mtu mwamposaa

Maishà haya usipokuwa na msimamo wako mwenyee utapata tabu sana
 
Back
Top Bottom