stoneblock
Senior Member
- Feb 28, 2023
- 128
- 357
Nimekuwa nikifanya biashara na udalali kwa shida sana hadi siku nimeanza kutumia chumvi ya mawe sisemi ni dawa ila imani huponya
CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i
Imenisaidia duka langu naona hela sasa sio kama zamani
Imenisaidia kupunguza na kumaliza madeni korofi
Imenisaidia kufanya biashara na watu niliokuwa nimegombana nao kiasi cha kutosemeshana
Matumizi
Nunua chumvi ya mawe sokoni hata ya 500 tu, weka kijiko kimoja kwenye maji ya kuoga ogea asubuhi na jioni hadi utakapoona mambo yamekubali
Pia soma:
CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i
Imenisaidia duka langu naona hela sasa sio kama zamani
Imenisaidia kupunguza na kumaliza madeni korofi
Imenisaidia kufanya biashara na watu niliokuwa nimegombana nao kiasi cha kutosemeshana
Matumizi
Nunua chumvi ya mawe sokoni hata ya 500 tu, weka kijiko kimoja kwenye maji ya kuoga ogea asubuhi na jioni hadi utakapoona mambo yamekubali
Pia soma: