MATUMIZI ya BOXER PANTS

MATUMIZI ya BOXER PANTS

Jahom

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2008
Posts
351
Reaction score
33
Nikivaa boxer kifaa yangu haikai vizuri. inawezekana sijajua zinavyotumika? Mi napiga boxer na trousers tu. naomba ushauri wa matumizi sahihi ya boxer pant.
 
Nikivaa boxer kifaa yangu haikai vizuri. inawezekana sijajua zinavyotumika? Mi napiga boxer na trousers tu. naomba ushauri wa matumizi sahihi ya boxer pant.

Jah... haina haja ya kuvaa "upati" ndani hilo boxer lako linatosha, maana inatakiwa isibanwe na kujikunja. Usiogope utazoea tu.
 
Nikivaa boxer kifaa yangu haikai vizuri. inawezekana sijajua zinavyotumika? Mi napiga boxer na trousers tu. naomba ushauri wa matumizi sahihi ya boxer pant.

Nitafute ana kwa ana ili tupeane ushauri vizuri!
 
Nikivaa boxer kifaa yangu haikai vizuri. inawezekana sijajua zinavyotumika? Mi napiga boxer na trousers tu. naomba ushauri wa matumizi sahihi ya boxer pant.

muda wote kwani unawaza yale mambouseme inakuwa mnara
au mzee wa kuangalia mambo ya kikubwa ukiwa ofisini nini aise
 
Back
Top Bottom