Mmhhh unaweza kupanga appointment miez 3 kabla? Tusidanganyane ngozi nyeusi kwenda na ratiba ni ngumu sana.Mkuu unapanga appointment zako zote, ni rahisi hata ukipata udhuru unaosema unaweza kuja Dec 21, ukiangalia kwenye diary ile siku imeshapangiwa ratiba, unamwambia mwenye udhuru, samahani siku hiyo nina shughuli nyingine.
Maranyingi academic na professional calendars zinakuwa na engangements zote za mwaka za kampuni pia unaweza kuweka siku ambazo utakuwa likizo, inasaidia kazini na marafiki pia kuwataarifu.Mmhhh unaweza kupanga appointment miez 3 kabla? Tusidanganyane ngozi nyeusi kwenda na ratiba ni ngumu sana.
ninachofanyaga mm ni kuandika vitu muhimu nilivyofanya siku hyo na weka records.
Ila asante kwa taarifa, so unanishauri yale matukio ya ghafla alafu hayana ulazma tuzikaushie?Maranyingi academic na professional calendars zinakuwa na engangements zote za mwaka za kampuni pia unaweza kuweka siku ambazo utakuwa likizo, inasaidia kazini na marafiki pia kuwataarifu.
ngozi nyeusi yaan unaleta ubaguz wa rangi humuMmhhh unaweza kupanga appointment miez 3 kabla? Tusidanganyane ngozi nyeusi kwenda na ratiba ni ngumu sana.
ninachofanyaga mm ni kuandika vitu muhimu nilivyofanya siku hyo na weka records.
Ndiyo maana kuna kitu kinaitwa "prioritising".Ila asante kwa taarifa, so unanishauri yale matukio ya ghafla alafu hayana ulazma tuzikaushie?
Asante sana wacha nijiandae kugombana na watu maana kuna mijitu inawaza kudharauliwa tu wakiambiwa mtu yupo busy hawaelewagiNdiyo maana kuna kitu kinaitwa "prioritising".
dereva wa bodaboda na diary wap na wap?Wadau naomba msaada wa mawazo, kila mwaka nimekuwa nikijitahidi kununua Diary lakini kutumia ni shida ..
Je ni yapi matumizi sahihi ya Diary![]()
hahahaaha....ngozi nyeusi yaan unaleta ubaguz wa rangi humu
hahahaaNatembeaga nayo kukusanya no kwa totoz na kuandika masomo ya semina tu