labda nimuweke sawa kaka,si pesambili aliyefia uwanjani bali ni nadhir mussa mchomba aliyefia uwanjani alikuwa kipa wa afc arusha ni kutokana na daluga la mchezaji keneth pesambili wa 44 kj ya mbeya,ilikuwa tarehe 5/5/2001 na nadhir ni baba yangu mdogo wa kuzaliwa tumbo moja na baba,asante kaka
Pia kuna kipa wa AFC ya Arusha Nadhir Mchomba aligongana na mshambuliaji akafia hapo hapo uwanjanikipa pesa mbili aliyeuliwa na daluga la mchezaji wa 44 KJ kule mbeya... miaka ya mwanzoni mwa 2000s
ASee mkuu naikumbuka hii picha ya kwenye gazeti ilikua inaonyesha kama kachinjwa na panga shingoninilcheza mpira na Keny..........kwa tukio lile anadai hakumgusa kabisa Nadhir na alimruka wakatimchomba kauwahi mpira uliokuwa fifty fifty......hata yeye alishtuka tu Mchomba kawa kama kachinjwa!(samahani sana....na Mungu amuweke pema).
nitukio lililohusishwa sana na uchawi...nilikua sokoine siku ile na ilikua mara yangu ya kwanza na ya mwisho kugusa mpira tena kama mchezaji....hata wa mazoezi niliacha kabisa...nikabaki shabiki tu!
dhaira kufanikiwa kung'oa kaseja simba,
ASee mkuu naikumbuka hii picha ya kwenye gazeti ilikua inaonyesha kama kachinjwa na panga shingoni
Kiukweli lilikua tikio la kutisha sana tushukuru Mungu kipindi hiko haya mambo ya mitandao ya kijamii hayakua yametamalaki kama leo hii
Mungu aendelee kumpumzisha golikipa Nadhir Mchomba mahala pema peponi
Hii kitu niliishuhudia kwaacho yangu, na haijanitoka mpaka leo, sokoine stadium hyo.Pia
Pia kuna kipa wa AFC ya Arusha Nadhir Mchomba aligongana na mshambuliaji akafia hapo hapo uwanjani
Sio kweli!refa zanzibar kusimamisha mpira kukimbia kunako choo kukata gogo