Matukio ya Kusikitisha Uwanjani

Kipigo cha mbwa mwizi walichopata YANGA kutoka kwa SIMBA SC pale taifa!
Wadau mtajazia ilikuwa lini vile?
Walikojolewa ngapi?
 
kiungo wa clabu ya Bolton Fabrice Muamba aliyeanguka uwanjani kwenye mechi ya FA dhidi y Tottinham hotspurs, na mechi iliahirishwa. Jamaa moyo wake ulisimama kwa dk78,...madaktari wanasema alikuwa amekufa kwa dk 78!
 
labda nimuweke sawa kaka,si pesambili aliyefia uwanjani bali ni nadhir mussa mchomba aliyefia uwanjani alikuwa kipa wa afc arusha ni kutokana na daluga la mchezaji keneth pesambili wa 44 kj ya mbeya,ilikuwa tarehe 5/5/2001 na nadhir ni baba yangu mdogo wa kuzaliwa tumbo moja na baba,asante kaka

nilcheza mpira na Keny..........kwa tukio lile anadai hakumgusa kabisa Nadhir na alimruka wakatimchomba kauwahi mpira uliokuwa fifty fifty......hata yeye alishtuka tu Mchomba kawa kama kachinjwa!(samahani sana....na Mungu amuweke pema).
nitukio lililohusishwa sana na uchawi...nilikua sokoine siku ile na ilikua mara yangu ya kwanza na ya mwisho kugusa mpira tena kama mchezaji....hata wa mazoezi niliacha kabisa...nikabaki shabiki tu!
 
michael owen kuumia na kuvunjika mguu kulikopelekea kupotea kwenye mpira na kutolewa kwa machela ndani ya second ya 9 ya dk ya kwanza ujerumani 2002
 
nilcheza mpira na Keny..........kwa tukio lile anadai hakumgusa kabisa Nadhir na alimruka wakatimchomba kauwahi mpira uliokuwa fifty fifty......hata yeye alishtuka tu Mchomba kawa kama kachinjwa!(samahani sana....na Mungu amuweke pema).
nitukio lililohusishwa sana na uchawi...nilikua sokoine siku ile na ilikua mara yangu ya kwanza na ya mwisho kugusa mpira tena kama mchezaji....hata wa mazoezi niliacha kabisa...nikabaki shabiki tu!
ASee mkuu naikumbuka hii picha ya kwenye gazeti ilikua inaonyesha kama kachinjwa na panga shingoni
Kiukweli lilikua tikio la kutisha sana tushukuru Mungu kipindi hiko haya mambo ya mitandao ya kijamii hayakua yametamalaki kama leo hii
Mungu aendelee kumpumzisha golikipa Nadhir Mchomba mahala pema peponi
 
Kuna mchezaji alikua anashiriki sijui mashindano ya uhai cup ya vijana anaitwa ngasa nafikiri alifariki pale taifa muda mfupi baada ya kufunga goli.. kijana huyo alikua akishangilia kwa kujirusha rusha kwa nguvu kwa kujibamiza kifuani wengi wanahisi kitendo kile kilistua moyo wake kilichopeleka umauti
 
ASee mkuu naikumbuka hii picha ya kwenye gazeti ilikua inaonyesha kama kachinjwa na panga shingoni
Kiukweli lilikua tikio la kutisha sana tushukuru Mungu kipindi hiko haya mambo ya mitandao ya kijamii hayakua yametamalaki kama leo hii
Mungu aendelee kumpumzisha golikipa Nadhir Mchomba mahala pema peponi

Nakumbuka pia.. lilikua gazeti la dimba nadhani wakiweka hii picha.. siamini Kama lilikua nikiatu tu
 
Back
Top Bottom