Matola aongezewe mshahara Simba

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,106
27,090
Kazi ya Kwanza ni majukumu yake kama kocha msaidizi

Kazi ya Pili ni kutuliza mashetani ya Pablo.

Pablo is so much in touch with his femine side yaani kajamaa kanakasirika kasirika Kila saa ili kabembelezwe utafikiri ka Manzi.

On a serious note: Kuna uwezekano mkubwa Sana Pablo akawa crack head.

Sijui anatoka nchi Gani but Kwa Jina lake I guess anatoka South America. Kuna uwezekano mkubwa Sana Pablo akawa anatumia vitu vyeupe.

What to expert from Simba now?

Simba wanaweza kupoteza mechi nyingine kama mbili au tatu Na pacha kama tatu ( hata kama sio mfululizo) kama.Pablo ataendelea kuwepo Simba huku Sababu yangu kubwa ikiwa Ni bechi la ufundi Na wachezaji watamchoka Na watataka aondolewe klabuni so NJIA pekee itakuwa ni kufanya sabotage
 
kwa lugha rahisi kabisa ya alama ni dhahiri Pablo hataki matola kuwa sehem ya wasaidizi wake sijui alilishwa matango pori? au yupo sawa?, tena unaweza shangaa suku matola akiondoka na kumwacha anakuwa mtulivu …..!
 
Kajamaa hakataki kukaa Africa kapo bongo Kwa Sababu ya njaa tu lakini nna uhakika kakipata vihelahela kidogo katarudi Spain au kwao South America..

Sijui wanafanya vipi Kazi Na boss WA namna HII.

Mimi nipo Yanga but Matola Hadi namuonea huruma. Anafanya Kazi katika mazingira magumu Sana Yani ingekuwa uswahilini Matola lazima uvumilivu ungemshinda Ange kapiga Mitama.

Kana mchoresha mno
kwa lugha rahisi kabisa ya alama ni dhahiri Pablo hataki matola kuwa sehem ya wasaidizi wake sijui alilishwa matango pori? au yupo sawa?, tena unaweza shangaa suku matola akiondoka na kumwacha anakuwa mtulivu …..!
 
Kazi ya Kwanza ni majukumu yake kama kocha msaidizi

Kazi ya Pili ni kutuliza mashetani ya Pablo.

Pablo is so much in touch with his femine side yaani kajamaa kanakasirika kasirika Kila saa ili kabembelezwe utafikiri ka Manzi.

On a serious note: Kuna uwezekano mkubwa Sana Pablo akawa crack head.

Sijui anatoka nchi Gani but Kwa Jina lake I guess anatoka South America. Kuna uwezekano mkubwa Sana Pablo akawa anatumia vitu vyeupe.

What to expert from Simba now?

Simba wanaweza kupoteza mechi nyingine kama mbili au tatu Na pacha kama tatu ( hata kama sio mfululizo) kama.Pablo ataendelea kuwepo Simba huku Sababu yangu kubwa ikiwa Ni bechi la ufundi Na wachezaji watamchoka Na watataka aondolewe klabuni so NJIA pekee itakuwa ni kufanya sabotage
Sio kunuongezea mshahara bali ni kumfukuza kazi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kajamaa hakataki kukaa Africa kapo bongo Kwa Sababu ya njaa tu lakini nna uhakika kakipata vihelahela kidogo katarudi Spain au kwao South America..

Sijui wanafanya vipi Kazi Na boss WA namna HII.

Mimi nipo Yanga but Matola Hadi namuonea huruma. Anafanya Kazi katika mazingira magumu Sana Yani ingekuwa uswahilini Matola lazima uvumilivu ungemshinda Ange kapiga Mitama.

Kana mchoresha mno
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ety mitama
 
Back
Top Bottom